Mfalme wa Morocco - Kweli alistahili heshima ya Rais wetu Muadilifu Magufuli?

Mfalme wa Morocco - Kweli alistahili heshima ya Rais wetu Muadilifu Magufuli?

Mkuu chabuso; nakubaliana na hoja yako; ina mashiko na nayaheshimu mawazo yako. Ila pamoja na kuwa na makabila yote hayo bado tuna ufanano "identity" kama Watanzania. Tamaduni zetu zipo wazi kabisa kuhusu mavazi. Mwanamke wa "kikwetu" tamaduni inamtaka avae asitirike.
Nakubaliana na wewe mkuu,lakini nchi kama Tanzania yenye utamaduni ya baadhi ya mabila yanakwenda nusu uchi,sioni kama ni sawa kuwalazimisha watu wavae kama wanasiasa au watu wadini wanavyotaka
 
Wamorroko asilimia 100 ni waislam,kuna mafungu aina mbili ya watu warabu jamii ya mfalme na wabarberi,lakini mfalme kaonesha kuwa kila mtu kama binadamu ana uwezo wa kuvaa kile anachopenda.

Tanzania ina zaidi ya makabila 250,yaani Tanzania ina zaidi ya mila na tamaduni 250 na ushei,kila kabila lina utamaduni wake wa kuvaa na mambo mengine,Tanzania ina asili mia 50 wakristo na asilimia 50,waislamu....sasa mkuu ukinambia tamaduni na mila zetu za kumkataza mtanzania asivaae anachotaka ni ipi?...

wazo langu wanasiasa wa Tanzania wanatumia siasa kuwakabili(control) watanzania katika uhuru na haki zao za kibinadamu kama kuvaa nk
ukumbuke sote tutaondoka duniani siku moja...
TANZANIA HAKUNA MAKABILA 250 NA WALA SI KWELI KWAMBA KUNA WAKRISTO 50% NA WAISLAM 50%.

MAKABILA NI AROUND 120 NA KUHUSU DINI KUNA WAKRISTU,WAISLAM NA WAKO WASIO NA DINI
Mchambuzi hizi picha zimechezewa. Nilikuuliza kwa upole lakini bado unakazana kusema ni za kweli. Ziko picha nyingine (photoshop) zinamuonesha akiwa amevaa tops tofauti na hii iliyoweka hapa. MODs naomba muondoe huu upuuzi.
 
Aah aah fally ipupa associe....mtukufu atakuwa ameenjoy his stay in tz-bara na tz-visiwani.
 
Du
8b89e45c184b125536b82df1cd20c632.jpg
1648233ee3fb77e399138dc11df8babe.jpg



HIV na hiz nazo ni Photoshop
 
WAKO WASIO NA DINI
Ngoja msafiri nao,hasa ziwani au hata nchi kavu, halafu chombo kiyumbe kidogo utaskia mtumee! Yesu na maria! Hawa sii kama hawana dini bali ni "wanafiki" ktk kundi hili ndio utakuta "wachawi" kwa aslimia kubwa.
 
Kwani magufuli yeye ni mkamilifu? Hata vitabu vya dini vinasema hata yesu alikaa na vibaka, malaya, watoza ushuru etc. Hata mtume Mhamadi naye hakuwatenga watenda dhambi. Sasa magufuli anautukufu gani kujitenga?
 
Inawezekana kabisa sina akili lakini wewe ni hauna uelewa hata kidogo. GDP ya Morocco ni about $100billion, GDP ya Tanzania ni about $50billion. Upo hapo? Barani Afrika nchi inayoongoza ni Nigeria. Morocco ni ya tano ikitanguliwa na Nigeria, South Africa, Egypt, na Algeria, upo? Morocco imeipita Angola kwa kiasi kidogo sana, baada ya Angola ni Tanzania tukiwa ni wa saba, upo? Tunajitapa kwamba hatuhitaji misaada, mwisho wa siku tunakimbilia misaada ya nchi inayofanana na Angola kiuchumi.
Maendeleo ya ukweli yanaangaliwa Kwa maisha halisi ya watu kiuhalisia sio hizo GDP na takwimu za vitabuni! Alafu hoja yangu ya msingi ilikiwa suala la Nguo yaani uvaaji wake anapokuwa mapumzikoni ,uwezo wa kiutawala pamoja na mafanikio Kwa watu wake. Nyie endeleeni kushine Na Suti
 
sasa kwa mfano lingekuwa jani la mpapai mngesemaje?mwacheni mfalme aligalize
 
Unga unga wa pembe za faru John muhimu, una hela balaa huko middle east
 
Back
Top Bottom