Mfalume anakiatu kilichopayuka hivo? yuko lafu hio? Photoshop hiiView attachment 425812
Mfalme akiwa katika starehe zake Zanzibar. Kama Taifa, tunajivunia nini Rais wetu kupokea mgeni wa aina hii? Tukisema hii ni aibu (alama ya bangi kifuani) kwa taasisi ya Rais, tutaitwa wachochezi?
@Ritz,@msemajiukweli,Lizaboni, @nguruvi3,Mag3
Nakubaliana na wewe mkuu,lakini nchi kama Tanzania yenye utamaduni ya baadhi ya mabila yanakwenda nusu uchi,sioni kama ni sawa kuwalazimisha watu wavae kama wanasiasa au watu wadini wanavyotakaMkuu chabuso; nakubaliana na hoja yako; ina mashiko na nayaheshimu mawazo yako. Ila pamoja na kuwa na makabila yote hayo bado tuna ufanano "identity" kama Watanzania. Tamaduni zetu zipo wazi kabisa kuhusu mavazi. Mwanamke wa "kikwetu" tamaduni inamtaka avae asitirike.
Akhh!!! Toufff!Yap,ushoga for instance,kama unataka kuwa shoga,mimi sio wakukuamulia...,hiyo ni shauri yako na mungu wako
mkuu ...
Photoshop ya kitoto iliotengenezwa na watoto waliokosa maadili, pumbaf kabisa
TANZANIA HAKUNA MAKABILA 250 NA WALA SI KWELI KWAMBA KUNA WAKRISTO 50% NA WAISLAM 50%.Wamorroko asilimia 100 ni waislam,kuna mafungu aina mbili ya watu warabu jamii ya mfalme na wabarberi,lakini mfalme kaonesha kuwa kila mtu kama binadamu ana uwezo wa kuvaa kile anachopenda.
Tanzania ina zaidi ya makabila 250,yaani Tanzania ina zaidi ya mila na tamaduni 250 na ushei,kila kabila lina utamaduni wake wa kuvaa na mambo mengine,Tanzania ina asili mia 50 wakristo na asilimia 50,waislamu....sasa mkuu ukinambia tamaduni na mila zetu za kumkataza mtanzania asivaae anachotaka ni ipi?...
wazo langu wanasiasa wa Tanzania wanatumia siasa kuwakabili(control) watanzania katika uhuru na haki zao za kibinadamu kama kuvaa nk
ukumbuke sote tutaondoka duniani siku moja...
Mchambuzi hizi picha zimechezewa. Nilikuuliza kwa upole lakini bado unakazana kusema ni za kweli. Ziko picha nyingine (photoshop) zinamuonesha akiwa amevaa tops tofauti na hii iliyoweka hapa. MODs naomba muondoe huu upuuzi.
Faiza Fox njoo huku kuna mtukufu mfalme wa Moroko.Asante sana mkuu , huyu ndio wa kuwajengea msikiti watukufu waislam ?
Link Sura ya pili ya Mfalme wa MoroccoHii Picha ni ya Ukweli au Photoshop?
Ngoja msafiri nao,hasa ziwani au hata nchi kavu, halafu chombo kiyumbe kidogo utaskia mtumee! Yesu na maria! Hawa sii kama hawana dini bali ni "wanafiki" ktk kundi hili ndio utakuta "wachawi" kwa aslimia kubwa.WAKO WASIO NA DINI
Sio! Kavaa vazi la kulalia,daahh! Kumbe visiwani kuna mabinti warembo hivi!!HIV na hiz nazo ni Photoshop
aisee kumbe ndio agenda yenu wanywa virobaMbona ni bitothii
Japo napenda kumwona JPM akiaibika, bado siamini kama hiyo ni picha ya Mfalme!!?
Kumbe hawa walikua kero tangu enzi?watoza ushuru
Maendeleo ya ukweli yanaangaliwa Kwa maisha halisi ya watu kiuhalisia sio hizo GDP na takwimu za vitabuni! Alafu hoja yangu ya msingi ilikiwa suala la Nguo yaani uvaaji wake anapokuwa mapumzikoni ,uwezo wa kiutawala pamoja na mafanikio Kwa watu wake. Nyie endeleeni kushine Na SutiInawezekana kabisa sina akili lakini wewe ni hauna uelewa hata kidogo. GDP ya Morocco ni about $100billion, GDP ya Tanzania ni about $50billion. Upo hapo? Barani Afrika nchi inayoongoza ni Nigeria. Morocco ni ya tano ikitanguliwa na Nigeria, South Africa, Egypt, na Algeria, upo? Morocco imeipita Angola kwa kiasi kidogo sana, baada ya Angola ni Tanzania tukiwa ni wa saba, upo? Tunajitapa kwamba hatuhitaji misaada, mwisho wa siku tunakimbilia misaada ya nchi inayofanana na Angola kiuchumi.