Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
punguza jazba,dozi yako ndio kwanza imemaliza mwaka,bado miaka minne,Wee ni mshamba na mporipori tuu. Unadhani mfalme ni malaika au Mungu?
Anatofauti gani na vijana wetu wa bongo fleva wanavyovaa!Tanzani ichukue nafasi yake kuu kidiplomasia
Halafu nyingine hii hapa..mbona nguo tofauti joto lilizidi?mie niko zanzibar ngoja nitafatilia ni kweli alikuwa hivyo au ni photoshop, hili duka linaitwa memories of zanzibar
Nimeelewa... na ndio maana nikahoji, kivipi ionekane ni crime kuvaa T-Shirt yenye picha ya mjani wakati T-Shirt hizo hizo na nguo sawa na hizo zinauzwa widely open tena kati kati ya jiji?! Hata kwenye maduka yetu ambako tunachukua kodi, nguo sawa na hizo zimejazana kibao!!nadhan hujaelewa watu wanachopigia kelele. kuvaa casual ni jambo zuri kabisa hasa anapojichanganya na watu wake nami napenda mfalme social kama yeye. suala ni kuvaa flana YENYE PICHA YA MAJANI YA BANGI NA KUTUKUZA BENDERA YA MAREKANI. MFALME ANATANGAZA BHANGI???????????????????????????????
Hao akina Obama walikusaidia nn?hata kama dunia imetuchoka,basi isitufanyie hivi!!
kipindi cha jk tulishuhudia viongozi wenye nguvu kubwa ya uchumi na kijeshi kutoka marekani,china,na mataifa mengine wakitua Tanzania.
Hakika zilikuwa ziara nzito kwa nchi hii na ziliipeleka Tanzania kilometa milioni kwenye dunia ya diplomasia.
Baadae awamu hii tukaacha kwenda nje ya nchi,serikali nzima ikaacha kwenda nje ya nchi.
matokeo yake tukaanza kupata wageni ambao ni kichekesho kwa taifa.Jamani tujirekebisheView attachment 426049 View attachment 426049
Huwezi kumjibu kwa kiswahili? Au ndio kuonesha msisitizo?We know you are very good in negative publicity but, just take a few minutes to do a simple research. All resources are available to enable you look credible at least for once. Otherwise, you expose your idocy to every Tom, Dick and Harry. You are a disgrace to Tanzania.
HEADLINE: Kwanini waislam.wajengewe msikiti? PeiodKatika kipindi cha wiki moja Serikali na Chama vimepitia katika mazingira yanayotasfiriwa kama usanii fulani hivi. Kwanza kabisa kulikuwa na ujio wa Mfalme wa Morocco akiambatana na timu kubwa na watu zaidi ya mia na hamsini. Ugeni huu ulikuwa na maandalizi ya shamrashamra za hali ya juu sana katika kiwango cha kupokelewa na Rais mwenyewe. Kabla hata hatujafika mbali vyombo vya habari kipenzi cha chama kikataka kupotosha idadi ya wageni. Ikatangazwa kuwa mfalme amewasili na delegates takribani 1500.
Ghafla baada ya Mfalme kuondoka stori ikaishia hapo. Upepo mkali umepita siku mbili hizi kana kwamba watu hawaamini kilichoahidiwa na mfalme. Kwamba mfalme aliahidi kujenga Misikiti Mkubwa na Uwanja wa Mpira, sijui mfalme katuonaje, kwamba sisi tunashida sana na misikiti? Aidha lifestyle ya mfalme imeanza kutia mashaka juu ya ujio wake, watu wameanza kuhoji alikuja kwenye HAPA KAZI TU ama alikuja kula bata?
Kabla wiki kukatika chama kikataka kuingizwa chaka na vyombo vya habari vikatangaza kuwa katika mtandao wa Forbes Rais Magufuli anaongozo kwa kura kama Raisi anayekubalika zaidi Afrika. Chama kikatuma vijana kuhamasisha na pia kikajiandaa kuitisha vyombo vya habari kukazia. Laah haula, kumbe mtandao feki?!!!!
Baba kuwa makini na baadhi ya wageni. Pia kuwa makini na walionyuma yako, baadhi wanatengeneza mazingira ya kukuchoresha
![]()
![]()
![]()
Unaelewa unachoongea? Ni wakati wa ziara ya Rais wa Marekani nchini Tanzania, ndipo Marekani ilipoamua kutoa msaada mkubwa kabisa kwa nchi za kiafrika. Msaada mkubwa kabisa ulitolewa kwa Tanzania, iliyofuatia ilikuwa Ghana.Hao akina Obama walikusaidia nn?
Au tayar mwenzetu umenufaika na Sera yake ya ushoga ??
Usikute umeshaolewa tayar ndio maana unamkumbuka sana Obama wakat hana faida yoyote kwa watanzania