Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maslahi yao kama yapi ?Hawa ugomvi wao na Iran wanaweka mbele kuliko maslahi yao
... halafu kuna mapuuzi mengine humu yanaiona Hezbollah kama wapiganaji sijui mujahid wa Allah! Magaidi wakubwa chini ya ufadhili wa Iran; hakika dunia imeshtuka! Hongera King Salman kwa salaam hizo; umeandika historia. Ila pia shukran kwa aliyefanikisha mauwaji ya Jenerali Qassem Soleimani gaidi mkuu; dunia inapumua sasa.
Akawanyanganye mwenyewe, kashindwa baada ya kupewa kipigo ndani ya ardhi yake kwa makombora sasa anataka asaidiwe. Si aliyataka mwenyewe alidhani Hezbollah ni wa mchezo mchezo!Saudi King Salman called to disarm Hezbollah on UN General Assembly.
Every normal country must designate Hezbollah as a terrorist organization -- for the sake of peace and stability!View attachment 1581032
Hakuna mwenye haki ya kumikiki silaha Duniani... halafu kuna mapuuzi mengine humu yanaiona Hezbollah kama wapiganaji sijui mujahid wa Allah! Magaidi wakubwa chini ya ufadhili wa Iran; hakika dunia imeshtuka! Hongera King Salman kwa salaam hizo; umeandika historia. Ila pia shukran kwa aliyefanikisha mauwaji ya Jenerali Qassem Soleimani gaidi mkuu; dunia inapumua sasa.
Saud inafadhili ugaidi kama haujui. Alqaida na makundi mengine ya suni chini ya wahabism. Hisbola wanafanya ugaidi 2api.... halafu kuna mapuuzi mengine humu yanaiona Hezbollah kama wapiganaji sijui mujahid wa Allah! Magaidi wakubwa chini ya ufadhili wa Iran; hakika dunia imeshtuka! Hongera King Salman kwa salaam hizo; umeandika historia. Ila pia shukran kwa aliyefanikisha mauwaji ya Jenerali Qassem Soleimani gaidi mkuu; dunia inapumua sasa.
Leo kidogo umeuliza swali lenye akili.Maslahi yao kama yapi ?
Hata wewe ni mpuuzi tu kwa kumpa King Salman hongera. Hongera ya kitu gani mfano? au kwa kuwa amefanya lile unalotaka wewe? Mbona ufalme wake umemuua Jamal Khashoggi? Ndio hujui kama kule Yemen amekuwa akirusha mabomu hospitalini, mashuleni na kuuwa watu ambao hata hawashiriki kwenye vita?... halafu kuna mapuuzi mengine humu yanaiona Hezbollah kama wapiganaji sijui mujahid wa Allah! Magaidi wakubwa chini ya ufadhili wa Iran; hakika dunia imeshtuka! Hongera King Salman kwa salaam hizo; umeandika historia. Ila pia shukran kwa aliyefanikisha mauwaji ya Jenerali Qassem Soleimani gaidi mkuu; dunia inapumua sasa.
Waarabu walishavurugwa sana. Huyu King Salman mwenyewe ni mtumiaji wa Madawa ya Kulevya. Ila Hezbollah wanaleta shida katika Dunia lazima wanyang'anywe silaha na Ayatollah Khomeini anatakiwa apigwe Bomu. Ili dunia iwe salama... halafu kuna mapuuzi mengine humu yanaiona Hezbollah kama wapiganaji sijui mujahid wa Allah! Magaidi wakubwa chini ya ufadhili wa Iran; hakika dunia imeshtuka! Hongera King Salman kwa salaam hizo; umeandika historia. Ila pia shukran kwa aliyefanikisha mauwaji ya Jenerali Qassem Soleimani gaidi mkuu; dunia inapumua sasa.
Hivi ndivyo nilivyo mimi.Leo kidogo umeuliza swali lenye akili.
Wanataka wanyanganye mawakala wa mudi silaha? Kaz hiyo ipewe IDF faster mbonaSaudi King Salman called to disarm Hezbollah on UN General Assembly.
Every normal country must designate Hezbollah as a terrorist organization -- for the sake of peace and stability!View attachment 1581032
Wewe sura mbaya kama mkunduo wa baba yako acha kuleta udini hapa makende ya punda weweWanataka wanyanganye mawakala wa mudi silaha? Kaz hiyo ipewe IDF faster mbona
Unatumia akili kubwa kumjibu mwendawazimu brainwashed mkuu....!!?Hata wewe ni mpuuzi tu kwa kumpa King Salman hongera. Hongera ya kitu gani mfano? au kwa kuwa amefanya lile unalotaka wewe? Mbona ufalme wake umemuua Jamal Khashoggi? Ndio hujui kama kule Yemen amekuwa akirusha mabomu hospitalini, mashuleni na kuuwa watu ambao hata hawashiriki kwenye vita?
Hio Dunia inayo pumua iko wapi?
Usisahau YemenIla Saudi Arabia wao ni watakatifu sana.
Itakua hata Jamal Khashoggi alichinjwa chinjwa na jamaa wa 'Iran' wakishirikiana na "Hezbollah' pale ubalozini.
Tubaki na fimbo na mawe tu kwaajili ya vibaka na wanawake wazinzi 🤔Hakuna mwenye haki ya kumikiki silaha Duniani
Bunduki ya kwanza kutengenezwa ilikuwa kwa ajili ya kulindia nyani na ngedere mashambani
Silaha yoyote iliyopo mikononi mwa binadamu kwa ajili ya binadamu mwenzie huo ni UGAIDI
haijalishi IPO mikononi mwa NATO, IDF,IRRG,JWTZ,IS,HIZBOLAH, na wengineo wote wanastahili kuitwa magaidi
Tunahitaji dunia isiyo kuwa na silaha