Mfalme wa soka ulimwenguni atwaa tuzo ya mchezaji bora UEFA kwa mara nyingine

Sio mchezaji bora wa uefa ..mchezaji bora wa uefa alichukua modric ..so hadi watangaze tena

Yeye kachukua mchezaji bora wa week wa michuani ya klabu bingwa ulaya na sio chama cha soka
 
Sio mchezaji bora wa uefa ..mchezaji bora wa uefa alichukua modric ..so hadi watangaze tena
Yeye kachukua mchezaji bora wa week wa michuani ya klabu bingwa ulaya na sio chama cha soka
Mapenzi yamemzidi huyu Jamaa ,vizuri kwa kumuelimisha....Messi hana mpinzani kwa kiwango alichonacho
 
Sio mchezaji bora wa uefa ..mchezaji bora wa uefa alichukua modric ..so hadi watangaze tena

Yeye kachukua mchezaji bora wa week wa michuani ya klabu bingwa ulaya na sio chama cha soka

Mkuu, unajijibu ama kuna mdau unamjibu hii post? Maana unachokiongea hakihusiani na mada husika...
 
Mkuu, unajijibu ama kuna mdau unamjibu hii post? Maana unachokiongea hakihusiani na mada husika...

Kama hujui kitu kubali jifunza ..shabiki wa mpira huwezi tofautisha mchezaji bora wa michuano ya klabu bingwa ulaya(UEFA champions league)..na mchezaji bora wa chama cha soka ulaya (UEFA)
 
Sio mchezaji bora wa uefa ..mchezaji bora wa uefa alichukua modric ..so hadi watangaze tena

Yeye kachukua mchezaji bora wa week wa michuani ya klabu bingwa ulaya na sio chama cha soka
Wa UEFA alichukua Ronaldo.
 
Mkuu sawa unampenda messi hata mie na mkubali, lakini mapenzi yamekuzidi mkuu, sasa tuzo gani ya kumuanzishia uzi messi!! Hizi tuzo usikute wamebeba mpaka kina giroud!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…