Hahaaaa. Na vimiguu vyake vile.lolPenguin anavyotembea[emoji23][emoji23][emoji23]
Nashukuru Mungu niko salamaMm nipo salama kabisa sijui ww sweetlee
Sing'ati bwana [emoji23][emoji23]
Kabisaa dada, anatembea kwa mwendo wa kiaina yake yy alafu huwa sio mkorofi....anapenda kukaa na wanyama wanaoelewana tu [emoji1][emoji1][emoji1]Kaka Mie huwa nampenda akitembea tu yaani kama katoto kanakojifunza kutembea ila tabia zake hata sizijui kwa kweli.
Numbisa.
Mungu ni Mwema [emoji4]Nashukuru Mungu niko salama
ukichokozwa unang'ataa ww [emoji2][emoji2]Sing'ati bwana [emoji23][emoji23]
[emoji144][emoji144]Mungu ni Mwema [emoji4]
Hamna mimi mpole sana [emoji4]ukichokozwa unang'ataa ww [emoji2][emoji2]
ss mbona na ww umeogapa kumtaja hadi umeandka kinyumenyume, huyo mm namfananisha na KukuKuna member mmoja humu naona jina lake mnasitasita kulitaja, na atakaelitaja naona atajuta kuzaliwa, labda mumuelize anapenda kufananishwa na mnyama gani. Member mwenyewe ni huyu hapa "enicymatneg" mimi simo.
hata ukichokozwa?Hamna mimi mpole sana [emoji4]
Hahahaaaa. Nimecheka sana lol.ss mbona na ww umeogapa kumtaja hadi umeandka kinyumenyume, huyo mm namfananisha na Kuku
Eeeh[emoji23]hata ukichokozwa?
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji85][emoji85][emoji28][emoji28]Hahahaaaa. Nimecheka sana lol.
sio kweli...hata sungura mpole ila ukimchokoza lazima akurarue na kuchaEeeh[emoji23]
[emoji102][emoji102]yna4 Rabbit
[emoji3][emoji3][emoji102][emoji102]
[emoji23][emoji23][emoji23] mimi hapanasio kweli...hata sungura mpole ila ukimchokoza lazima akurarue na kucha
Nyangumi wa blue[emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23] wewe huyo eeh!![emoji134]Nyangumi wa blue