Mfananishe member wa JF na mnyama unaempenda au usiyempenda na utoe sababu

Mfananishe member wa JF na mnyama unaempenda au usiyempenda na utoe sababu

Nilivyoona huu uzi nikajikuta nakimbilia kufungua nione yaliyomo ghafla nilichokiona ndani nikacheka sana sababu mie huwa Kondoo namuona tu na wala sijuagi tabia zake zaidi ya kila ninapomuona kajawa na kamas* huku kichwa kinaangalia chini.

Haya mleta uzi wacha na mie niamini hivyo Ahsante.

[emoji120] [emoji120] [emoji120]
Kwa mimi ambaye huwa nachunga ng'ombe, kondoo, mbuzi na punda.

Ukiwa umewaswaga halafu umechanganya na mifugo ya jirani ikifika kipindi cha kuwatenganisha kila mmoja achukue mifugo yake inapofika njia ya kuelekea nyumbani, kondoo kwa sababu anainamisha kichwa chini anajikuta kaachwa kaenda na mifugo ya jirani na inatokea muda huo wewe umesahau kama kuna kondoo kanogewa na msafara[emoji23] [emoji23] [emoji23] utakapofika nyumbani ukianza kukagua unakuta kondoo hayupo ukija kushtuka unakuta umemuacha kwenye mifugo ya jirani wakati wa kuachana.

Kondoo ana akili zake ambazo ni za kipekee kabisa..
 
Kwa Hajar hizo sifa ulizompa nakubaliana nawe lakini huyo mnyama uliemfananisha naye anasifa moja tu ya Hajar-upole au ukimya, zaidi ya hiyo Hajar anakauli njema kama tausi, tabasamu na bashasha kama kitoto cha mbuzi kilichoshiba nyonyo la mama yake, anabusara kama twiga mwenye urembo, lakini pia muongeaji mzuri kama kasuku na sio chiriku
Eti Dada yangu Hajar nikazie au nilegeze?
 
Kwa mimi ambaye huwa nachunga ng'ombe, kondoo, mbuzi na punda.

Ukiwa umewaswaga halafu umechanganya na mifugo ya jirani ikifika kipindi cha kuwatenganisha kila mmoja achukue mifugo yake inapofika njia ya kuelekea nyumbani, kondoo kwa sababu anainamisha kichwa chini anajikuta kaachwa kaenda na mifugo ya jirani na inatokea muda huo wewe umesahau kama kuna kondoo kanogewa na msafara[emoji23] [emoji23] [emoji23] utakapofika nyumbani ukianza kukagua unakuta kondoo hayupo ukija kushtuka unakuta umemuacha kwenye mifugo ya jirani wakati wa kuachana.

Kondoo ana akili zake ambazo ni za kipekee kabisa..
Hahahaaaa. Duuh.

Ila nimecheka jamaani Mwifwa lol. Hivyo Kondoo yeye huwa anakwenda kwenda tu. Teh.
 
Kwa mimi ambaye huwa nachunga ng'ombe, kondoo, mbuzi na punda.

Ukiwa umewaswaga halafu umechanganya na mifugo ya jirani ikifika kipindi cha kuwatenganisha kila mmoja achukue mifugo yake inapofika njia ya kuelekea nyumbani, kondoo kwa sababu anainamisha kichwa chini anajikuta kaachwa kaenda na mifugo ya jirani na inatokea muda huo wewe umesahau kama kuna kondoo kanogewa na msafara[emoji23] [emoji23] [emoji23] utakapofika nyumbani ukianza kukagua unakuta kondoo hayupo ukija kushtuka unakuta umemuacha kwenye mifugo ya jirani wakati wa kuachana.

Kondoo ana akili zake ambazo ni za kipekee kabisa..
[emoji23][emoji23][emoji23] kama mbuzi
 
Mbuzi hawezi kuachwa hata kidogo labda beberu akiwa anasaka naniliuu ndio anaweza kujitoa akili[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
chief ninafuga mbuzi shamba aseee....hao wadudu sina hata ham nao, na sio kama hawajazoea banda No...ni ujeuri tu, kwenda kujichanganya na mbuzi wa watu...
 
Wakuu,

Km heading inavyojieleza. Ndo umepata chance ya kumfananisha member wa jf na mnyama unaempenda au usiyempenda.. Utamfananisha nani? Na kwanini?

Kwa upande wangu, mimi namfananisha Hajar na kondoo. Kondoo ni mnyama ninaempenda sana maana ni mpole na mtaratibu sana.. Hajar naona naye ni mpole na mtaratibu na sikuwahi ona hata siku moja ametoa kauli mbaya humu yenye kuleta offense au disappointment kwa mtu. Nampenda sana hajar sawa na nimpendavyo kondoo

Vipi kwa upande wako?
Mimi najifananisha na sokwe maana inasemekana ndii asili yetu
 
Back
Top Bottom