Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
hiyo tunajua, huu mfano tuSimba itatinga hatua ya makundi ya Cafcc...
bado mechi. wanamda wa kuwa bora. sema kikosi cha Last year kilikuwa na players with experience wengi sana.UONGOZI WA MO NI WA HOVYO SANA.
TIMU INASHINDWA KUSAJILI WACHEZAJI WA MAANA TOP INASAJILI WACHEZAJI DARAJA LA NNE NA TANO.
HOW COME UNASHINDWA KUSAJILI
1. Mayele.
2. Feisal.
3. Mabululu.
4. Mpanzu.
5. Kapumbu.
6. Dube
Unaya ubwege una
Mpoteza chama
Unasajili
Ayoub, nouma, okejepha, Ngoma,Ohua.
Hawa wote wameshindwa.
huyu game moja tu akiaribu. atakaa benchi ashangaeTutamfukuza yusuph kagomaπππ
SIKIA WE TUNDALIHANYWA KUSAJILI BAADHI YA WACHEZAJI ULIOWATAJA HAPO NI GARAMA KUBWA AMBAYO SISI SIMBA HATUWEZI KUIMUDU KWA MFANO MABULULU THAMANI YAKE NI BILIONI 4.4 UNAYO? MAYELE PYRAMID WANATAKA BILIONI 6 UNAYO? DUBE ALIIKATA SIMBA AKACHAGUA KWENDA YANGA, HAPO LABDA MPANZU NA FEITOTO KAPUMBU GARASA LABDA TUNGEMSAJILI MIAKA 5 ILIYOPITA, TUIPE TIMU MUDA.UONGOZI WA MO NI WA HOVYO SANA.
TIMU INASHINDWA KUSAJILI WACHEZAJI WA MAANA TOP INASAJILI WACHEZAJI DARAJA LA NNE NA TANO.
HOW COME UNASHINDWA KUSAJILI
1. Mayele.
2. Feisal.
3. Mabululu.
4. Mpanzu.
5. Kapumbu.
6. Dube
Unaya ubwege una
Mpoteza chama
Unasajili
Ayoub, nouma, okejepha, Ngoma,Ohua.
Hawa wote wameshindwa.
Feisal akija simba itakuwa failure, akatae sundowns aje simba,SIKIA WE TUNDALIHANYWA KUSAJILI BAADHI YA WACHEZAJI ULIOWATAJA HAPO NI GARAMA KUBWA AMBAYO SISI SIMBA HATUWEZI KUIMUDU KWA MFANO MABULULU THAMANI YAKE NI BILIONI 4.4 UNAYO? MAYELE PYRAMID WANATAKA BILIONI 6 UNAYO? DUBE ALIIKATA SIMBA AKACHAGUA KWENDA YANGA, HAPO LABDA MPANZU NA FEITOTO KAPUMBU GARASA LABDA TUNGEMSAJILI MIAKA 5 ILIYOPITA, TUIPE TIMU MUDA.
Irrelevant exampleWanasimba wenzangu kwema, few days to go. kabla ya mechi yetu na Al ahly Tripoli. timu yetu tunaijua wazee.
kwa mfano :
fadlu akishindwa kutupeleka makundi nani alaumiwe??
a) Mangungu
b) Fadlu
c) Timu
Tajiri asiusishwe kabisa tafadhali, atazila π.
Maana mchawi lazima apatikane,
Unahisi atakuwa nani mchawi??
View attachment 3099780
we waitIrrelevant example
Tatizo la simba ni wanachama kama wapo, kuendesha timu ya mpira siyo kama familia kunahitajika uongozi jumuishi, "collective leadership"Wanasimba wenzangu kwema, few days to go. kabla ya mechi yetu na Al ahly Tripoli. timu yetu tunaijua wazee.
kwa mfano :
fadlu akishindwa kutupeleka makundi nani alaumiwe??
a) Mangungu
b) Fadlu
c) Timu
Tajiri asiusishwe kabisa tafadhali, atazila π.
Maana mchawi lazima apatikane,
Unahisi atakuwa nani mchawi??
View attachment 3099780
Nyie mchezaji akihama yanga ndio mnaona anastahili kwenda nje, mlianza kwa Ajibu Sasa FeisaliFeisal akija simba itakuwa failure, akatae sundowns aje simba,
Mpanzu atawasumbua sana simba, akili yake ipo ulaya, in short simba needs players ambao wanataka kuja simba
Sare ya 1-1 hakuna penati hapo bali Simba kaaga moja kwa moja. Sare yoyote ya magoli, Simba imetokaMarudio kwa Mkapa watatoka droo ya 1-1 tu. Halafu kwenye penalty simba atashinda penalty 3-2 na kuingia makundi labda kama CAF bado wanahesabu mabao ya ugenini
Je sare ya bila goli yaani 0-0, kutakuwa mikwaju ya penalti? Nielekeze hapoSare ya 1-1 hakuna penati hapo bali Simba kaaga moja kwa moja. Sare yoyote ya magoli, Simba imetoka
Kwanini atoke....Sare ya 1-1 hakuna penati hapo bali Simba kaaga moja kwa moja. Sare yoyote ya magoli, Simba imetoka