Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
Wanasimba wenzangu kwema, few days to go. kabla ya mechi yetu na Al ahly Tripoli. timu yetu tunaijua wazee.
kwa mfano :
fadlu akishindwa kutupeleka makundi nani alaumiwe??
a) Mangungu
b) Fadlu
c) Timu
Tajiri asiusishwe kabisa tafadhali, atazila 😂.
Maana mchawi lazima apatikane,
Unahisi atakuwa nani mchawi??
kwa mfano :
fadlu akishindwa kutupeleka makundi nani alaumiwe??
a) Mangungu
b) Fadlu
c) Timu
Tajiri asiusishwe kabisa tafadhali, atazila 😂.
Maana mchawi lazima apatikane,
Unahisi atakuwa nani mchawi??