Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu, angalieni wenyewe hapa kijana alivyomkazia RC Chalamila, amwambia Chalamila unakuja kututisha kwenye maduka yetu kisa tumefunga, akishikilia msimamo wake wa kutofungua duka lake.
Pale Chalamila alipoambulia kuzomewa.
Tusije kusikie kachukuliwa na watu wasiyojulikana au kapata ajali ambayo haina kichwa wala miguu. Mkae hivyo hivyo kupewa spana mpaka wananchi wapate haki zao.
#KataaMachawa
#KataaUozo2025
====
Pia soma:
Pale Chalamila alipoambulia kuzomewa.
Tusije kusikie kachukuliwa na watu wasiyojulikana au kapata ajali ambayo haina kichwa wala miguu. Mkae hivyo hivyo kupewa spana mpaka wananchi wapate haki zao.
#KataaMachawa
#KataaUozo2025
====
Pia soma: