Mfanyabiashara asimama kidete dhidi ya Chalamila, tusije kusikia amechukuliwa na watu wasiyojulikana

Mfanyabiashara asimama kidete dhidi ya Chalamila, tusije kusikia amechukuliwa na watu wasiyojulikana

Wakuu, angalieni wenyewe hapa kijana alivyomkazia RC Chalamila, amwambia Chalamila unakuja kututisha kwenye maduka yetu kisa tumefunga, akishikilia msimamo wake wa kutofungua duka lake.

Pale Chalamila alipoambulia kuzomewa.

Tusije kusikie kachukuliwa na watu wasiyojulikana au kapata ajali ambayo haina kichwa wala miguu. Mkae hivyo hivyo kupewa spana mpaka wananchi wapate haki zao.

#KataaMachawa
#KataaUozo2025


====

Pia soma:

Huyu ndo MWANAUME
 
Wakuu, angalieni wenyewe hapa kijana alivyomkazia RC Chalamila, amwambia Chalamila unakuja kututisha kwenye maduka yetu kisa tumefunga, akishikilia msimamo wake wa kutofungua duka lake.

Pale Chalamila alipoambulia kuzomewa.

Tusije kusikie kachukuliwa na watu wasiyojulikana au kapata ajali ambayo haina kichwa wala miguu. Mkae hivyo hivyo kupewa spana mpaka wananchi wapate haki zao.

#KataaMachawa
#KataaUozo2025


====

Pia soma:

Nadhani chalamila ameshindwa kushusha tamper za hao wafanyabiashara ,badala yakusolve amewagawa
 
Huo ni ujinga tu huwezi shindana na dola hata siku moja at the end ataumia tu na hicho kibiashara chake
Na nchi itaumia isipokusanya kodi
Biashara ndio zinaendesha nchi wewe kima inalipwa mashahara

Maduka yakifungwa miezi 3 we mshahara hulipwi

Msikilize vizur mwigulu
 
Kuna watu uwa mnataka kutukanwa alafu tupewe ban humu....hivi unashindwa kweli kukaa kimya kuliko kuandkia Ujinga kama huu,au wewe ni mke wa chalamila....Anasemwa rais sembuse huyo kipara Makeleza hasiyejua wajibu wake kutwa tu kuangaika na maswala ya Bia,barmaid na Madada Poa?
Wewe ni shujaa wa hapa JF tu. Nje ya JF huna lolote.
 
Huo ni ujinga tu huwezi shindana na dola hata siku moja at the end ataumia tu na hicho kibiashara chake


Mtamuumiza kwa sababu ni maskini lakini wale walioleta meli ya sukari ikaondoka nazogo wake kule somalia mnawalinda kwa sababu bil. 500 mmegawana kwa kuingiza sukari hewa .

Badala ya kutuonyesha wapi tani elfu 60 za sukari zilipokua zimeshishwa na kusambazwa mnahangaika na peti ishues .

Wafanyabiashara sio walimu mnaowatisha kuwafukuza kazi . Serikali imejisahau kuwa biashara hata kama hakuna serikali inafanyika na watu wanatajirika. Biashara sio kazi ya uteuzi.


Fuatilieni sukari hewa . Mmemfunga Mpina mdomo kwa muda tu.

CCM imeishiwa hoja. Alifukuzwa Mkoloni mweupe kwa mipasho tu na ngonjera sembuse nyie wakoloni weusi msio na jipya kichwani.
 
Kuna watu uwa mnataka kutukanwa alafu tupewe ban humu....hivi unashindwa kweli kukaa kimya kuliko kuandkia Ujinga kama huu,au wewe ni mke wa chalamila....Anasemwa rais sembuse huyo kipara Makeleza hasiyejua wajibu wake kutwa tu kuangaika na maswala ya Bia,barmaid na Madada Poa?
Hii comment poa sana😍😍😂
 
Angeweza hata kupigwa mawe sijui angemlaumu nani. Anajifanya mjuaji ndiyo shida.
Watu wanaumizwa kwenye kodi halafu wengine wanakwenda kutumia kodi hizo kulipa sukari hewa ambayo haijawahi kuingizwa na kuhifadhiwa kwenye godaoni lolote zaidi ya meli kufika bandarini na kuondoka na mzigo wake kuelekea nchi isiyojulikana kisha kutengeneza vibali feki kuwa sukari imeingia .

Watuomyeshe kuwa ilihifadhiwa wapi na ilisambazwa na akina nani kwa utaratibu gani mana aliyesemwa ameingiza hiyo sukari hana kiwanda hivyo hana miundo mbinu ya kuhifadhi na kusafirisha sukari
 
Watu wanaumizwa kwenye kodi halafu wengine wanakwenda kutumia kodi hizo kulipa sukari hewa ambayo haijawahi kuingizwa na kuhifadhiwa kwenye godaoni lolote zaidi ya meli kufika bandarini na kuondoka na mzigo wake kuelekea nchi isiyojulikana kisha kutengeneza vibali feki kuwa sukari imeingia .

Watuomyeshe kuwa ilihifadhiwa wapi na ilisambazwa na akina nani kwa utaratibu gani mana aliyesemwa ameingiza hiyo sukari hana kiwanda hivyo hana miundo mbinu ya kuhifadhi na kusafirisha sukari
Maswali makini kabisa haya
 
hizo ni akili za kizamani ndugu, akili za kiporipori enzi za ujima, funguka, come to the civilized world. Mkubwa ni Mungu tu, ninyi nyote uwe mkuu wa mkoa au nani ni wafanyakazi wetu na mnakula mshahara wa kodi yetu, ninyi ni watumishi tu, na mnaweza kutoka anytime, izo ofisi mtaziacha. heshimuni watu, acheni kiburi, na wacheni watu watoe dukuduku lao, enzi za kufumba watu midomo kisijewakuta kinachowakuta wakenya sasaivi, ninyi ndio mtasababisha watu wachoke na kuleta fujo.
Safi sana Mkuu.
 
Mtamuumiza kwa sababu ni maskini lakini wale walioleta meli ya sukari ikaondoka nazogo wake kule somalia mnawalinda kwa sababu bil. 500 mmegawana kwa kuingiza sukari hewa .

Badala ya kutuonyesha wapi tani elfu 60 za sukari zilipokua zimeshishwa na kusambazwa mnahangaika na peti ishues .

Wafanyabiashara sio walimu mnaowatisha kuwafukuza kazi . Serikali imejisahau kuwa biashara hata kama hakuna serikali inafanyika na watu wanatajirika. Biashara sio kazi ya uteuzi.


Fuatilieni sukari hewa . Mmemfunga Mpina mdomo kwa muda tu.

CCM imeishiwa hoja. Alifukuzwa Mkoloni mweupe kwa mipasho tu na ngonjera sembuse nyie wakoloni weusi msio na jipya kichwani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hekma ni jambo zuri sana... mdomo na kujifanya Shujaa sometimes inaleta shida sana.

Watanzania wengi wanafki watapeleka details za mwamba hata kama hawajatumwa, watapeleka tu kumchomea.. na yeye atafatiliw vzr kbs.. siku mtu anakuj dukani kwake ananunua kitu na yeye hatotoa risiti ndio mwanzo wa kudakwa kwa mujibu wa sheria na ndipo ataona rangi zote ambazo hajawah kuziona.
Labda hana cha kupoteza au hata duka lenyewe hana kaajiriwa tu.
 
Mtamuumiza kwa sababu ni maskini lakini wale walioleta meli ya sukari ikaondoka nazogo wake kule somalia mnawalinda kwa sababu bil. 500 mmegawana kwa kuingiza sukari hewa .

Badala ya kutuonyesha wapi tani elfu 60 za sukari zilipokua zimeshishwa na kusambazwa mnahangaika na peti ishues .

Wafanyabiashara sio walimu mnaowatisha kuwafukuza kazi . Serikali imejisahau kuwa biashara hata kama hakuna serikali inafanyika na watu wanatajirika. Biashara sio kazi ya uteuzi.


Fuatilieni sukari hewa . Mmemfunga Mpina mdomo kwa muda tu.

CCM imeishiwa hoja. Alifukuzwa Mkoloni mweupe kwa mipasho tu na ngonjera sembuse nyie wakoloni weusi msio na jipya kichwani.
Hata hao walimu ni kwa vile hawana umoja.
Umoja ukipatikana, uoga hukaa kando.


Kwenye issue kama ya wafanyabiashara usidhani hawapo ambao wapo upande wa serikali, wapo ila hawawezi hata kusema fyoko maana wengi tayari washaamua jambo lao. Kwahiyo wanaufyata tu.
 
Back
Top Bottom