Sasa kafungua kanisa ili abebe kirahisiBiashara hizo mara nyingi ni za kuzugia behind the scenes ni makontena na donkey.
Ndio kama kina masanja kuonyesha wanalima mpunga huku wakiendesha bmw x6 kumbe behind the scenes wanapiga fedha chafu.
Tiger zilichukuliwa na GSM enzi za JK.Mzee Zakaria nadhani aliamia Zambia ila alikua mtu poa sana huyo mfanyabiadhara alikua anataka mtu anaefanya nae biashara akue sio kila siku unaenda kununua idadi ile Ile ya box...betri za tiger ndio nyumbani kwake...
Yeye anauza kutokana na uwezo wa wengiVunjabei anauza maronyaronya tu humo dukani kwake mpaka unajiuliza japo unapewa kadi ka ya mlimani city[emoji16][emoji16]
Ila hawa matajiri kanjanja sana
Mungu amuhifadhi panapostahili Aamen.Mfanyabiashara Haroon Zakaria amefariki hii leo.anamiliki makampuni kadhaa ikiwemo Murzah Oil mills,zan fast ferries , majipoa Nk.
Mwenyezi Mungu ailaze mahela pema peponi roho yake.
View attachment 1768882
KORIE.Eeh matajiri wengi, simfaham huyu.
Mkuu...ingia la sinza or kkoo!Yeye anauza kutokana na uwezo wa wengi
Nashangaa huyo anavyosema ana moja Dar[emoji848]Vunja Bei ana maduka Mengi Dsm
Ana mijengo mingi tu upanga,masakiMasaki utakuta anamiliki apartments za kutosha....jamaa alikua anaingiza meli mzima imejaa bidhaa zake
Mungu amuhifadhi panapostahili Aamen.
Wakubwa wengi wa kiserikali walikuwa wanufaika kutoka kwake moja kwa moja
Tajiri alikuwa mtu poa sana waarabu huwa hawapendi media sana.
Na wewe ni wa kishua aisee.. kama mshua ana kampuni ya logisticsHuyu jamaa anae hela kama maji ya bahari! Boss aliokuwa ana support kampuni ya Mshua ya Logistics
Mi msela tu aisee, sikogi hata kishuaNa wewe ni wa kishua aisee.. kama mshua ana kampuni ya logistics
Amen amewekeza kwa Allah na akamlipeAliwapa mitaji wanunuzi wadogo wa bidhaa zake/Aliwajengea na kuwasomesha watoto yatima..
Kubwa zaidi ni huyu aliekuwa akienda mwenyewe Muhimbili kuwaona wagonjwa ma wale wanao takiwa kusafiri nje ya nchi anawasafirisha...
Amejenga nyumba nyingi sana za Ibada (Misikiti)...
Ndie alieanzisha kampeni ya kukarabati hospitali kongwe na kuwapatia vifaa vya kisasa, Japo wajanja wakazi fanya watakavyo...
Nitamkumbuka alipo okoa maisha ya mke na mtoto wa rafiki yangu..
Mimi namuombea Dua Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi Amiin..