FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Sawa, R.I.P, ila ingekuwa kipindi cha mwendazake, yangezushwa mengi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tambuu.Pumzika kwa amani mzee ila.MENO YANAONEKANA ALIKUWA ANATAFUNA MA KUBER KISAWASAWA
Wengi tu chief, au ndio zimba wa kwanza huyu kusikia ametangulia kwa mwaka huu?Mwingine Nani?
Mfanyabiashara Haroon Zakaria amefariki hii leo.anamiliki makampuni kadhaa ikiwemo Murzah Oil mills,zan fast ferries , majipoa Nk.
Mwenyezi Mungu ailaze mahela pema peponi roho yake.
View attachment 1768882
Sidhani kama hii taarifa ni ya kweli, nimeona somewhere imekanushwa lakini wakasema yupo Aga Khan Hospital taabaniMfanyabiashara Haroon Zakaria amefariki hii leo.anamiliki makampuni kadhaa ikiwemo Murzah Oil mills,zan fast ferries , majipoa Nk.
Mwenyezi Mungu ailaze mahela pema peponi roho yake.
View attachment 1768882
Sawa, R.I.P, ila ingekuwa kipindi cha mwendazake, yangezushwa mengi
Aliwapa mitaji wanunuzi wadogo wa bidhaa zake/Aliwajengea na kuwasomesha watoto yatima..Simulia japo kidogo mkuu kwa wasiojua wema wake
Huyu ndo ameumaliza mwendo salama.Aliwapa mitaji wanunuzi wadogo wa bidhaa zake/Aliwajengea na kuwasomesha watoto yatima..
Kubwa zaidi ni huyu aliekuwa akienda mwenyewe Muhimbili kuwaona wagonjwa ma wale wanao takiwa kusafiri nje ya nchi anawasafirisha...
Amejenga nyumba nyingi sana za Ibada (Misikiti)...
Ndie alieanzisha kampeni ya kukarabati hospitali kongwe na kuwapatia vifaa vya kisasa, Japo wajanja wakazi fanya watakavyo...
Nitamkumbuka alipo okoa maisha ya mke na mtoto wa rafiki yangu..
Mimi namuombea Dua Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi Amiin..
Kweli mkuu ila ingekuwa ni sisi watoto wangeshaanza uchuro kabla mzee hajahifadhiwa apumzike kwa amaniMzee wa mafuta ya kula korie ameumaliza mwendo kwa amani...
Hizi familia biashara hazifi baba akifariki
Sukari yote alikuwa anaagi?za jamaaDah, R.I.P Zakaria..!! A real tycoon in Tanzania! 😥
Kama umewahi kutumia unga wa Azania ama mafuta ya korie inatosha.Eeh matajiri wengi, simfaham huyu.
Kuna kijana wake mmoja anaishi CanadaVijana wake wakubwa na ndio wanamiliki biashara na kuendeleza alipoanza Mzee
Aah mkuu Zan Fast ferries si za marehemu Turky aliyekuwa mbunge wa jimbo la mpendae unguja au ana hisaMfanyabiashara Haroon Zakaria amefariki hii leo.anamiliki makampuni kadhaa ikiwemo Murzah Oil mills,zan fast ferries , majipoa Nk.
Mwenyezi Mungu ailaze mahela pema peponi roho yake.
View attachment 1768882
Nilibahatika kumuona mara kadhaaMkuu tafadhari jazia nyama najua wajua mengi kuhusu yeye. Wewe born town
Allahuma AmeenAliwapa mitaji wanunuzi wadogo wa bidhaa zake/Aliwajengea na kuwasomesha watoto yatima..
Kubwa zaidi ni huyu aliekuwa akienda mwenyewe Muhimbili kuwaona wagonjwa ma wale wanao takiwa kusafiri nje ya nchi anawasafirisha...
Amejenga nyumba nyingi sana za Ibada (Misikiti)...
Ndie alieanzisha kampeni ya kukarabati hospitali kongwe na kuwapatia vifaa vya kisasa, Japo wajanja wakazi fanya watakavyo...
Nitamkumbuka alipo okoa maisha ya mke na mtoto wa rafiki yangu..
Mimi namuombea Dua Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi Amiin..