Uko sahihi!Kuna mahali tulikosea katika kushughulika na hii dhana nzima ya mabadiliko ya kimfumo kutoka kwenye ujamaa kuingia katika ubepari.
Lakini makosa yetu hayawezi kuufuta ukweli kwamba ni afadhali sana uchumi wa kibepari kuliko zile akili za nchi nzima kuvaa sare sare maua kama vile watoto mapacha.
Tatizo ni nini?Nilipigwa butwaa, kama si kushangaa, mama Samia akiongea na wateule wa mashirika na nafasi mbali mbali za kiuongozi.
Lililonishangaza, eti yule mpendwa wetu Maharage Chande, alipoenguliwa TANESCO na kupelekwa TTCL, "ikagundulika"(mind you baada ya uteuzi) kuwa ana biashara yake inayo gongana kimaslahi na biashara ya TTCL.
Hapo nika pigwa butwaa, mshangao, na kuwa bumbuwazi vyote kwa pamoja, na ni kwa sababu kama mbili tatu hivi.
1 Vetting, kama inavyotakikana basi haijafanyika kabisa, maana kwani Ikulu haikujua kuwa toka mwanzo Maharage Chande ana biashara.
2. Ikulu inakurupuka, hivi hapo Ikulu hawapo watu wenye clear and focused minds?
3. Nchi hii sasa mfanya biashara kuteuliwa kuwa mtendaji serikalini? Hii imekaa vipi?
Haya maswali ni ya kimsingi sana na inabidi tupate majibu yanayostahili, ama sivyo Idara zinazofaya vetting, zinazo simamia uteuzi na hata serikali yenyewe kuwa na foresight ya watendaji wake , huko kuna matatizo.
Sisi wa zamani tulikuwa tukijua kuwa Nchi hii ni ya wafanya kazi na wakulima. Sasa kada ya wafanyabiashara ambao wana interests zao daima, sasa wanakuwa viongozi wa kisiasa au kiutendaji serikalini.
Hapa tanajenga msingi wa matabaka ambayo yatakuwa yakisigana daima. Mama kwa hili sikubaliani na wewe.
Hilo ni kweli kabisa, sijui kama ulivaa mashati ya "Victory" yaliyotengenezwa na Urafiki miaka ya 1980-81, hii ilikuwa baada ya vita ya Kagera.Kuna mahali tulikosea katika kushughulika na hii dhana nzima ya mabadiliko ya kimfumo kutoka kwenye ujamaa kuingia katika ubepari.
Lakini makosa yetu hayawezi kuufuta ukweli kwamba ni afadhali sana uchumi wa kibepari kuliko zile akili za nchi nzima kuvaa sare sare maua kama vile watoto mapacha.
China na Tanzania ni tofauti sana, sidhani kama ofisi ya CAG ya China inarekodi madudu mengi kama haya yanayofanyika hapa nchini kwetu.Hilo ni kweli kabisa, sijui kama ulivaa mashati ya "Victory" yaliyotengenezwa na Urafiki miaka ya 1980-81, hii ilikuwa baada ya vita ya Kagera.
Uchumi wa kibepari una ubunifu kw mtu mmoja mmoja, lakini downside in self interests.
Hivi tujiulize China na Centrally Planned Economy mbona wamefanikiwa sana ina the last 60 years?
Tena wamefanikiwa kiasi kuwa wanaanza kuitia wasiwasi Marekani.
Wamefanya vipi, kile sisi tunachoshindwa?
Mkuu hatuna tofauti yoyote na China.China na Tanzania ni tofauti sana, sidhani kama ofisi ya CAG ya China inarekodi madudu mengi kama haya yanayofanyika hapa nchini kwetu.
Kuna mwanazuoni mmoja aliwahi kusema 'ujamaa unakufa pale ambapo pesa za wachache zinashindwa kuendelea kutunza maisha ya walio wengi'.
Lambalamba na umeme wapi na wapi mwacheni Mzee wa watu aasimamie fani yakeBakhresa ateuliwe CEO wa Tanesco
Ujamaa upo kwa wale wenzangu na mimi wenye umri fulani tena umebaki kwenye kumbukumbu zetu.Mkuu hatuna tofauti yoyote na China.
Ila wao wako focised na wanamaanisha kile kinachotakiwa kufanywa.
Kule wezi wa mali za umma mwisho wao ni mmoja: RISASI ya kichwa.
Hapa kwetu mwizi anaundiwa tume , mtuhumiwa anawahonga Tume , mwisho wa sik anapelekwa kwingine kuiba.
We are not serious.