Mfanyabiashara Mo Dewji atunukiwa Ph.D ya heshima ktk Chuo Kikuu cha Georgetown

Mfanyabiashara Mo Dewji atunukiwa Ph.D ya heshima ktk Chuo Kikuu cha Georgetown

Hii doctoral hat ya huyu musukuma ni feki, basi tu haisemwi hadharani Kwa sababu ya 'regacy'. Kofia gani imekuwa mzigo kichwani? Sijui waliazima chuo hapa nchini.
Inaonesha jinsi jamii isivyoheshimu elimu! Usishangae kesho ukasikia Shigongo nae ni DR!!!! Kama Kikwete aliweza kutunukiwa na Mukandala basi hata na Hawa wengine wanaweza kutunukiwa!!
 
Another Dr in town of dsm very good .am looking forward to have mine b4 2025
 
Jamii gani anayoitumikia ingekaa vizuri km angesema anaiibia jamii
 
Udokta from George Town university

Si mchezo

Ova
 
Back
Top Bottom