Ni bahati mbaya sana kuwa kuna watanzania wapumbavu wakutupwa wanaonunulika bure. Kama watanzania nisingefikiri kungekuwa na mtu anatukana watu humu eti wana wivu. Wakati umefika kwa sasa watanzania tuanze kuchuukua hatua kulinda nchi yetu. Mtoa mada amesahau kusema kuwa huyu bwana ni Myemen, mshenzi kuliko mbwa. kwa kuwa viongozi wetu wa juu nao pia ni mafisadi wahujumu uchumi, ndio maana hawa watoto wadogo wa kiyemeni wanaweza kutufanya watanzania wote wapumbavu. Ridhwana kikwete anashinda ofisini hapo kila siku ya mungu kama mbwa koko. Kampeni zangu za ubunge zimefadhiliwa na huyu bwana, huku akipewa magari na pesa za kufanya kampeni. Huko ikulu tulimuona JK kabebeshwa kitoto kidogo cha huyu bwana, yote hiyo kujikomba. Sasa a huyu mfunga kamba alipoingia ndio anayetumika ku protect ufisadi wa the Kikwetes, hapo ndipo shamba la mtandao wa Ridhwani, ndio maana huyu bwana anakula na kunywa, na literally kuishi kwa Gharib. Hawa watu hata kama watoto wao wakifanyiwa huo unyama, watanyamaza kwa kuwa wameshatekwa. lazima tujikomboe jamani msitegemee Serikali hii itaweza kutulinda. Hawa watu wanajulikana wazi juu ya biashara zao haramu ikiwemo madawa ya kulevya, zaidi ya Mbowe, Gwajima, Ray C na Chidi Benz, hiyo GSM foundation ni utakatishaji pesa haramu kwa nini serikali haichukui hatua. Wewe uliona funza gani kwenye ubongo, kiwanja kilichohodhi heshima ya TANU kipewe mvuta bangi na jambazi wa kimataifa, humo ndani wana CCM wakiwemo Mbangula, Zungu, Kimbisa etc wanashinda kwenye hizo corridor wakifuata visenti. Tunajua kabisa wakati wa Membe kila siku asubuhi alikua anapelekewa dola 5,000 na dereva wa Ghalib, ofisini kwake na hela hizo kukabidhiwa secretary wa Membe. Ndio maana hata wakati wa lile sakata lao la kukamatwa na mabilioni ya hela wakizitorosha nje, hakuna kilichofanyika zaidi ya watu wa usalama wa taifa kuhamia hapa ofisini, huku wakitoka na makapu ya hela kila jioni, na shauri limeishia njiani. Fake Country, fake government