LWENYI
JF-Expert Member
- Jul 4, 2013
- 1,798
- 2,107
washafika washirika.Majungu tuu na fitina ilovuka mipaka! Kama una ushahidi kwa nini usipeleke kunapohusika ili hatua za isheria zikafuatwa au unatumiwa na mshindani wake wa kibiashara?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
washafika washirika.Majungu tuu na fitina ilovuka mipaka! Kama una ushahidi kwa nini usipeleke kunapohusika ili hatua za isheria zikafuatwa au unatumiwa na mshindani wake wa kibiashara?
Umeongea mengi sana kuhusu Said kuna ya ukweli kuhusu majengo lakini mengine naona una sababu zako binafsi...halafu ilo ghorofa unalosema lipo Swahili na Udoe sio Swahili na Msimbazi Mbona huyo RPC wa siku nyingi sana mkuu.
Mkuu kama mzalendo na unapenda nchi yako kwa nini huu ushahidi wako usipeleke polisi.
Umeshaandikiwa hapo kwa
ufafanuzi wote mtz badala uje na hoja yako ya msingi unasema
wivu,majungu,kwa kuangalia typing error tu,si lazima upinge kila kitu na
maelezo yameeleka hapo!!
Faiza unajua mimi ndio maana nilikumiss. By the way, lile darasa la kiingereza itabidi tufikirie kulianzisha tena hapa JF since umerudi...
Hayo ni mawazo duni, ikiwa ni lazima ufanyike "umafia" huo ubilionea una faida gani?
Kuna sehemu umeandika "umahara"...nipe darsa,mana mie ni mwanafunzi wako
Mzee Dewji ana watoto zaidi ya mmoja lakini Mo ameweza kukopa 1 mil USD na kufanya mambo makubwa zaidi ya baba yake. Yes, pesa ya baba pia ni fursa...Kiongozi ulipitia vizuri ile habari ya mo forbes? Kuna sehemu alisema alikopa 1mil usd mwaka 99{takribani 1.3bilion},fedha za baba nayo ni fursa?
Mzee Dewji ana watoto zaidi ya mmoja lakini Mo ameweza kukopa 1 mil USD na kufanya mambo makubwa zaidi ya baba yake. Yes, pesa ya baba pia ni fursa...
Jana kuna mtu aliposti mada ya kumuulizia huyu jamaa kuwa yuko wapi? bila shaka anhusika moja kwa moja na tukio hiloaisee!
Kama wananchiwanajua haya yote vyombo vya dola vinajua nini??
Lakini mkuu, inabidi tukumbuke tu kuwa one problém may have many solutions. 1. sio lazima kuanza at the level of Mo. 2. Sio lazima kuanza alone. If we put 1 and 2 above together tutaona kuwa watu wengi wana fursa kama alizokuwa nazo Mo ila hawajazitambua. By the way, hata pesa ya jirani inaweza kuwa fursa conversely hata mawazo ya jirani yanaweza kuwa fursa.Da kama hvyo mwache awe tajiri maana usawa huu kumkopa mshua wa kibongo 1.6b wakati na yeye anadunduliza na elfu 50 ya mafao ya kila mwezi za nssf na pia anazungushwa!
ubaguzi wa mtu mweusi ni hatari 😕😕 ndio maana mungu anatunyima ww hata ndg zako uawachukia sana :target::target::target::target: