Mfanyabiashara Said Mohammed Saad wa Home Shopping Center (GSM Foundation)

Mfanyabiashara Said Mohammed Saad wa Home Shopping Center (GSM Foundation)

Mkuu Ritz hata wewe huwa unajichanganya sana kwenye post zako. Kwanini ulikuwa unamkingia kifua huyu bwana said?
cc Zomba
Umeongea mengi sana kuhusu Said kuna ya ukweli kuhusu majengo lakini mengine naona una sababu zako binafsi...halafu ilo ghorofa unalosema lipo Swahili na Udoe sio Swahili na Msimbazi Mbona huyo RPC wa siku nyingi sana mkuu.

Mkuu kama mzalendo na unapenda nchi yako kwa nini huu ushahidi wako usipeleke polisi.
 
kwa matokeo haya hata kucha na meno anaweza kuyangoa aisee
Umeshaandikiwa hapo kwa
ufafanuzi wote mtz badala uje na hoja yako ya msingi unasema
wivu,majungu,kwa kuangalia typing error tu,si lazima upinge kila kitu na
maelezo yameeleka hapo!!
 
Kuna sehemu umeandika "umahara"...nipe darsa,mana mie ni mwanafunzi wako

Mahara ni wilaya moja huko Yemen ya kusini ndipo anapotokea baba'ke Saidi Mahonda, mama'ke ni mtu wa Tanga. Watu wenye asili ya huko huitwa Wamahra.
 
Kiongozi ulipitia vizuri ile habari ya mo forbes? Kuna sehemu alisema alikopa 1mil usd mwaka 99{takribani 1.3bilion},fedha za baba nayo ni fursa?
Mzee Dewji ana watoto zaidi ya mmoja lakini Mo ameweza kukopa 1 mil USD na kufanya mambo makubwa zaidi ya baba yake. Yes, pesa ya baba pia ni fursa...
 
Mzee Dewji ana watoto zaidi ya mmoja lakini Mo ameweza kukopa 1 mil USD na kufanya mambo makubwa zaidi ya baba yake. Yes, pesa ya baba pia ni fursa...

Da kama hvyo mwache awe tajiri maana usawa huu kumkopa mshua wa kibongo 1.6b wakati na yeye anadunduliza na elfu 50 ya mafao ya kila mwezi za nssf na pia anazungushwa!
 
Da kama hvyo mwache awe tajiri maana usawa huu kumkopa mshua wa kibongo 1.6b wakati na yeye anadunduliza na elfu 50 ya mafao ya kila mwezi za nssf na pia anazungushwa!
Lakini mkuu, inabidi tukumbuke tu kuwa one problém may have many solutions. 1. sio lazima kuanza at the level of Mo. 2. Sio lazima kuanza alone. If we put 1 and 2 above together tutaona kuwa watu wengi wana fursa kama alizokuwa nazo Mo ila hawajazitambua. By the way, hata pesa ya jirani inaweza kuwa fursa conversely hata mawazo ya jirani yanaweza kuwa fursa.
 
Tumekariri Ukasuku tuu,HSC inahusika na Nini Bandarini,No Research No Right to Speak!,Nendeni TRA Milango ipo Wazi HSC Kamwe Haijawahi Kumiliki hata Siku Moja Kampuni ya Kutoa Mizigo na Wala Haijawahi Kupewa Leseni ya Uwakala wa Forodha Kamwe Asilani,Mizigo wanayoileta ni Yao NaInatozwa Kodi. 100% Rekodi zao zinapatikana TRA,wanalipa Corporate Taxes 100% kwa Makumi ya Mamilioni Kila Mwezi VAT,INCOME TAX,PAYE nk nk-Ni Ulongo na Kuchafuana Kibiashara tuuuuWanazo Sister companies CHINA,DUBAI,THAILAND zinafanya Shipping Agencies Huko Hilo Si Kosa wala Dhambi na Wamepeleka Watanzania Wenzetu Huko ndio Wanafanya Kazi,Fedha Wanazopata huko Wanainvest Tanzania sisi Tumekalia Kulalama tuuu,Kusiko na Ushahidi wowoteWanasaidia Saaaana Wafanyabiashara wadogo Nendeni Kariakoo Muulize-
 
ubaguzi wa mtu mweusi ni hatari 😕😕 ndio maana mungu anatunyima ww hata ndg zako uawachukia sana :target::target::target::target:

Pana chakula saafi sana hapa mara nyingi nikiwa ddar napenda kupata chakula jioni hapo na kukutana na watu na kupo karibu na masjid ngazija
 
Kuna haja ya vyombo vya dola kuzifanyia kazi taarifa zinazotolewa humu ndani katika misingi miwili
1. ikibaanika ni kweli basi dola ichukue mkondo wake
2. Ikibaanika ni uongo basi mtoa mada atafutwe ili aliyetuhumiwa na dola wachukue mkondo wa sheria dhidi yake
 
Kwan nchi yetu ina utawala wa sheria???? km aliweza kuwapiga risasi zaid ya watu wawili na bado akawa uraian mtu km huyo utakwenda kumripoti wapi? nchi hii haindeshwi kwa misingi ya sheria, sheria ya tz ipo chini ya pesa, ww nenda kamripoti matokeo kibao kinakugeukia police wanakupa kesi mlalamikaji, chezea tz ww!!!? nchi imeoza kuanzia shina mpk matawi msijifanye hamlijui hilo!!
 
Njiwa kaka hata mie nakuunga mkono kwani hawa wa2 habari zote hizi wamepata wapi kwani wana kamera katika macho na masikio Wamefundishwa nini kwani hapa mjini bana wa2 wanauwezo wa kukutungia ki2 mpaka kikawa cha kweli kabisaaaaaaa......!
 
Last edited by a moderator:
Jamani nahitaji mtaji marafiki kwani nimekwama na biashara zangu zimesimama sasa nifanye nini naomba mnishauri kwani hata kwa riba mie nipo tayari kukopa....
 
Back
Top Bottom