Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapya haya, tupe taarifa zaidiUyu ndio aliowazuluma gari wale waarabu... Kwamba kaagiza mzigo na hujafika
Ndio, sio salama asilimia 100. Heshimu sana machale yako. Genge lile Lina mkono mrefu sana.Hivi hata hapa jf sio sehemu salama sana eti?
Kuanzia tar. 02 August mpaka leo ni siku saba?Kazi yake ni mfanyabiashara wa kuuza magari lakini pia ni mwanaharakati huru wa mitandaoni,hajulikani alipo siku ya saba leo baada ya kutekwa na kupotezwa.
Alitekwa na watu waliojitambulisha kuwa ni askari wa jeshi la Polisi siku ya Ijumaa ya tarehe 02 August 2024 majira ya Saa 2 :00 usiku.
Dotto magari kaingiaje hapo ww?Watanzania TUANZE KUJILINDA.
Hayawani vichwa vimepata moto. Ogopa sana mwanamke akishaonja damu ya mtu
Mlinipuuza niliposema tukaipinge sheria inayowapa kinga TISS wanapoamua kuua
Kumbukeni Dotto Magari ni chawa kiherehere hivyo kumuuza mtu adakwe ni chap kwa haraka
Wewe unaweza kufanya hivyo au unabwabwaja tu kama zuzu!?Sisi wananchi ni wajinga.Tumesema siku zote mkiona magari hayana namba na wanataka kumchukua mtu pigeni filimbi watu waje ili walizingile hilo gari na kulichoma moto pamoja na waliomo vinginevyo hiyo biashara ya kuteka watu itaendelea
Bonge la kipanga....ananyakua tu😓Yeeni tumebaki kama Kuku, mchinjaji anajiamulia tu leo apite na yupi.
Inasikitisha sanaBonge la kipanga....ananyakua tu😓
Na wewe unataka kupotea au?Hivi ni kwanini mtu anapochukuliwa na watu msiowajua msifuatilie hilo gari mpk mwisho mjue anapelekwa kituo gani iwe rahisi kufuatilia?
Kwa hiyo unashauri tuwe tunatembea na filimbi zetu standby?Sisi wananchi ni wajinga.Tumesema siku zote mkiona magari hayana namba na wanataka kumchukua mtu pigeni filimbi watu waje ili walizingile hilo gari na kulichoma moto pamoja na waliomo vinginevyo hiyo biashara ya kuteka watu itaendelea
Ni kweli au unaweza kupigwa hata shaba biashara ikaishia hapo , ila serikali ijitahidi kudhibiti mambo haya , maana ikiendelea tusije kuwa kama southafrica, wahuni wataanza kuhukumiana mtaani kiholela, maana southafrica walianza kiutani utani sasa hivi wahuni wanakusanya hadi kodi kwa wafanyabiashara na serikali imeahindwa kudhibiti, usipolipa protection fees wanakumalizaSheikh kirahisi tu ivo? Hawa watu hawaheshimu haki Wala maisha ya raia, unaweza kufatilia wakakukamata na wewe, mtu anayeheshimu kazi yake hawezi kukataa kutoa kitambulisho anapofanya arrest.....