DOKEZO Mfanyabiashara wa Magari, Gideon Mlokozi Mashankara amepotea

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kuanzia tar. 02 August mpaka leo ni siku saba?
Au taarifa hii imeandikwa lini?
 
Dotto magari kaingiaje hapo ww?
 
Polisi inabidi waanze kutoa taarifa effectively na efficiently kuhusu haya mambo hata kama ni uzushi inabidi wafuatilie na walete majibu yanayoeleweka (Hio ndio kazi yao na wanalipwa kwa kazi hizo); Mzaha mzaha mwisho hutumbuka Usaha... (Ingawa Usaa ushatumbuka zamani sana ni wakati wa kufanya amputation)
 
Ili kukabiliana na huu utekaji wa kikosi kazi ambacho kipo chang'ombe Kwa mujibu wa hotuba ya mh mbowe,serikali inatakiwa ilegeze masharti ya umiliki wa silaha kama ilivyo marekani ili tuwashughulikie Hawa wahuni wanaojifanya hawajulikani wakati wanajulikana na niwajingawajinga ambao uwezo wao wa kuchanganua mambo ni sifuri.
 
Sheikh kirahisi tu ivo? Hawa watu hawaheshimu haki Wala maisha ya raia, unaweza kufatilia wakakukamata na wewe, mtu anayeheshimu kazi yake hawezi kukataa kutoa kitambulisho anapofanya arrest.....
Ni kweli au unaweza kupigwa hata shaba biashara ikaishia hapo , ila serikali ijitahidi kudhibiti mambo haya , maana ikiendelea tusije kuwa kama southafrica, wahuni wataanza kuhukumiana mtaani kiholela, maana southafrica walianza kiutani utani sasa hivi wahuni wanakusanya hadi kodi kwa wafanyabiashara na serikali imeahindwa kudhibiti, usipolipa protection fees wanakumaliza

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…