milangomitatu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,469
- 1,166
Tazama wewe mtumwa wa ajira.
Leo Jpili nimeingiza Mshahara wa walimu wanne wa secondary.
Angalia Profit hapo juu kabisa change into TZS.
Fala wewe. Uoga wako umasikini wako.
cc: Evelyn Salt, Dreka
View attachment 638590
Jamaa mwongo mwongo sana afu mwepesi wa kusahau sjui anamdanganya nani..?!!!Ha ha ha huyo ndio padri mcharuko ana mikwala....
Punguza fix basi, juzi tu ulikua unyamwezini huko unauza vibua.... Mwenyewe umekiri biashara imeenda Kombo, karibu mjini
Offa: Nipo Tabora Mjini nauza Freezer na Mizani digital, bei ya kutupa kabisa!!
Ndio mambo ya Jf hayo full kujitutumua na uongoJamaa mwongo mwongo sana afu mwepesi wa kusahau sjui anamdanganya nani..?!!!
Hapo unasemaje kwa nini ulikuwa unalilia mshahara?
Kumbe unategemea ajira japo sio moja....Unadhani nategemea ajira moja.
Niko Serikalini, niko Private company (japo kwa kuibia), niko na biashara zangu mbili (Forex imekua ya tatu sasa).
Na hizo Freezer Tabora niliamua kuuza baada ya mtu nilomweka kuuza samaki kunizingua.
Maisha kupambana. Ukilegea subiri upambaniwe. Kalagabaho
Kulia kwako inaonyesha ulichokiandika ni uwongo unategemea mshahara ukulinde mwenye pesa zake za biashara kama ulivyotuonyesha huwez lilia laki 5 yaani siku moja ya mshahara inapita unaaanza kulia [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Simple. Kwa sababu ni haki yangu.
Mwana FA anakwambia "Hata kama nina laki mfukoni, bado nitaokota shilingi mia barabarani"
Kumbe unategemea ajira japo sio moja....
Vizuri, mwanaume kupambana.
Huyu jamaa atakuwa mwanasiasa wa CcmDaaaah we jamaa si juzi tu ulikua unalilia mshahara leo hii ushakua tajiri wa forex unawaambia wenzio waache kazi?
Ama kweli maisha bila unafiki hayaendi
Kulia kwako inaonyesha ulichokiandika ni uwongo unategemea mshahara ukulinde mwenye pesa zake za biashara kama ulivyotuonyesha huwez lilia laki 5 yaani siku moja ya mshahara inapita unaaanza kulia [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Akikujibu nistue
Hapo unasemaje kwa nini ulikuwa unalilia mshahara?
Unadis ajira wakati mshahara unaungoja kama unangoja........Simple. Kwa sababu ni haki yangu.
Mwana FA anakwambia "Hata kama nina laki mfukoni, bado nitaokota shilingi mia barabarani"
Acha ulongo weweUnadhani nategemea ajira moja.
Niko Serikalini, niko Private company (japo kwa kuibia napo nataka kuwatema), niko na biashara zangu mbili (Forex imekua ya tatu sasa).
Na hizo Freezer Tabora niliamua kuuza baada ya mtu nilomweka kuuza samaki kunizingua.
Maisha kupambana. Ukilegea subiri upambaniwe. Kalagabaho
Nadhan haujaelewa alichokisema huyu bwana......Acha upumbavu wewe...
Niko kwenye ajira mwaka wa pili huu.
Nimeanza Kutrade Forex mwezi September.
Kwa mpunga naopiga next month naandika resignation letter. Kwanini, kwa sababu mshahara wangu wa mwezi naweza kuupata ndani ya week moja soko likikubali.
Kuajiriwa ni utumwa, ukweli utabaki milele
Uoga wako Umasikini wako (Bila shaka wewe ni Mwalimu wa secondary)
Vyuma baba vyumaaaaaaaHahahahahahahaaa kumbe anauza hadi mafridge afu tar.21 anaulizia salary yenye nyongeza ya elfu7?...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ruge na clouds yakeKuna watu wameibuka siku hizi, wanajiita Inspirational Or motivational speakers, hawa wanakula sana hela za vijana kwa semina za ujanja ujanja wakihamasisha vijana wajiajiri wakati wao wameajiriwa.
Ana vyanzo vinne vya biashara afu tar.21 anaanza kutusumbua tumwangalizie salio watu wengine bhana.....Unadis ajira wakati mshahara unaungoja kama unangoja........
Huna lolote vyanzo vinne tarehe 20 uje kutoa macho hapa kama mshahara tayari ha ha ....Walimu mna vichwa vigumu kama ngozi ya paka.
Naposema ajira namaanisha chanzo cha mapato.
Nina vyanzo vya mapato vizivopungua vinne mpaka sasa.
Nataka nitemane na viwili nibaki na business zangu mbili tu.
ππππAna vyanzo vinne vya biashara afu tar.21 anaanza kutusumbua tumwangalizie salio watu wengine bhana.....