Mfanyakazi usithubutu kuacha kazi kwa kushawishiwa kwa njia yoyote ile

Mfanyakazi usithubutu kuacha kazi kwa kushawishiwa kwa njia yoyote ile

Tazama wewe mtumwa wa ajira.
Leo Jpili nimeingiza Mshahara wa walimu wanne wa secondary.
Angalia Profit hapo juu kabisa change into TZS.
Fala wewe. Uoga wako umasikini wako.
cc: Evelyn Salt, Dreka


View attachment 638590
f30bb1fff36be11463b6016290e86dab.jpg

Hapo unasemaje kwa nini ulikuwa unalilia mshahara?
 
Punguza fix basi, juzi tu ulikua unyamwezini huko unauza vibua.... Mwenyewe umekiri biashara imeenda Kombo, karibu mjini

Offa: Nipo Tabora Mjini nauza Freezer na Mizani digital, bei ya kutupa kabisa!!


Unadhani nategemea ajira moja.
Niko Serikalini, niko Private company (japo kwa kuibia napo nataka kuwatema), niko na biashara zangu mbili (Forex imekua ya tatu sasa).
Na hizo Freezer Tabora niliamua kuuza baada ya mtu nilomweka kuuza samaki kunizingua.
Maisha kupambana. Ukilegea subiri upambaniwe. Kalagabaho
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Unadhani nategemea ajira moja.
Niko Serikalini, niko Private company (japo kwa kuibia), niko na biashara zangu mbili (Forex imekua ya tatu sasa).
Na hizo Freezer Tabora niliamua kuuza baada ya mtu nilomweka kuuza samaki kunizingua.
Maisha kupambana. Ukilegea subiri upambaniwe. Kalagabaho
Kumbe unategemea ajira japo sio moja....
Vizuri, mwanaume kupambana.
 
Simple. Kwa sababu ni haki yangu.
Mwana FA anakwambia "Hata kama nina laki mfukoni, bado nitaokota shilingi mia barabarani"
Kulia kwako inaonyesha ulichokiandika ni uwongo unategemea mshahara ukulinde mwenye pesa zake za biashara kama ulivyotuonyesha huwez lilia laki 5 yaani siku moja ya mshahara inapita unaaanza kulia [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kumbe unategemea ajira japo sio moja....
Vizuri, mwanaume kupambana.

Walimu hamuelewi.
Naposema ajira namaanisha chanzo cha mapato.
Nina vyanzo vya mapato vizivopungua vinne mpaka sasa.
Nataka nitemane na viwili nibaki na business zangu mbili tu.
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Kulia kwako inaonyesha ulichokiandika ni uwongo unategemea mshahara ukulinde mwenye pesa zake za biashara kama ulivyotuonyesha huwez lilia laki 5 yaani siku moja ya mshahara inapita unaaanza kulia [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Halafu hii mishahara ya laki tano kwa mwezi mmeikariri sana...
Mnadhani waajiriwa wote ni Walimu wa CWT??
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Unadhani nategemea ajira moja.
Niko Serikalini, niko Private company (japo kwa kuibia napo nataka kuwatema), niko na biashara zangu mbili (Forex imekua ya tatu sasa).
Na hizo Freezer Tabora niliamua kuuza baada ya mtu nilomweka kuuza samaki kunizingua.
Maisha kupambana. Ukilegea subiri upambaniwe. Kalagabaho
Acha ulongo wewe

Huoni aibu.
 
Acha upumbavu wewe...
Niko kwenye ajira mwaka wa pili huu.
Nimeanza Kutrade Forex mwezi September.
Kwa mpunga naopiga next month naandika resignation letter. Kwanini, kwa sababu mshahara wangu wa mwezi naweza kuupata ndani ya week moja soko likikubali.
Kuajiriwa ni utumwa, ukweli utabaki milele
Uoga wako Umasikini wako (Bila shaka wewe ni Mwalimu wa secondary)
Nadhan haujaelewa alichokisema huyu bwana......
 
Kuna watu wameibuka siku hizi, wanajiita Inspirational Or motivational speakers, hawa wanakula sana hela za vijana kwa semina za ujanja ujanja wakihamasisha vijana wajiajiri wakati wao wameajiriwa.
ruge na clouds yake
 
Back
Top Bottom