Mfanyakazi usithubutu kuacha kazi kwa kushawishiwa kwa njia yoyote ile

Teh, kila muwamba ngoma....
 
Ume "drift" vizuri sana na wewe hapo, mitazamo kimaisha yatofautiana, kuridhika kwa ki kimaisha lazima itakuwa tofauti na mwenzako..Je yamaanisha tusisukumane kupata maendeleo?! Je unapomsukuma mwenzako yaweza akasukumika kwenye shimo la maendeleo au la kumpoteza? Ebu endelea kufafanuwa boss Drifter
 
hakika upo sahihi...ukitaka pato zuri ndivyo utumwa kwa maslahi ya wengine unavozidi
 
rich dad poor dad hiki kitabu nakipenda kimegusa vizuri sna habari za kuajiriwa na kujiajiari...
 
Tunaofanya Kazi kwa Mhindi Uzi huu hautuhusu
 
Kuna jamaa yangu anataka acha kazi aje kufuga kuku ila nimemwambia kuna changamoto kubwa huku dunian kasema Kazi za kuajiriwa zimemchosha

...Uwoga tuu wa maisha mkuu, hivi out of 50 mill plus Tanzanian walioajiriwa ni wangapi?
 

.....Watu wamesubiri salary increment for almost two yrs, juzi nimesikia ongezeko ni around TZS 20,000.... ambayo ni sawa na income ya muuza maji kwa siku....Anyway kupanga ni kuchagua.
 
Je biashara ikigoma una mbadala au maana hiyo forex sio uhakika
 
Daaaah we jamaa si juzi tu ulikua unalilia mshahara leo hii ushakua tajiri wa forex unawaambia wenzio waache kazi?
Ama kweli maisha bila unafiki hayaendi
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji119] [emoji119]
 
Hatari sana chief [emoji23] [emoji23]
 
Kuna watu wameibuka siku hizi, wanajiita Inspirational Or motivational speakers, hawa wanakula sana hela za vijana kwa semina za ujanja ujanja wakihamasisha vijana wajiajiri wakati wao wameajiriwa.
Hili neno fursa siku hizi nalo limekuwa fursa
 
Ila make sure
1.ushakua pro na una make consistent profit by your own analysis sio kwa signal za mtu
2.grow your bank acc and not your trading acc in case of any thing unaweza fund tena trading acc bila kuyumba
Ni uamuzi mzuri
 
Watu wanasema kuajiriwa ni utumwa sijui stress na bla bla blahh
Kama hiyo ndio sababu tu ya kukufanya uache kazi unafeli
Kujiajiri ni utumwa sana sana hasa stage za mwanzo unapotaka kusimamisha brand yako na pia kuajiri watu ni stress sana kuliko kuajiriwa yaan ku organise people watembee na vision zako with accuracy maaaan si mchezo
Talking from experience
So we jiajiri tu lakin zisiwe hizo sababu mbili eti ajira ni utumwa sijui stress
 
Daaaah we jamaa si juzi tu ulikua unalilia mshahara leo hii ushakua tajiri wa forex unawaambia wenzio waache kazi?
Ama kweli maisha bila unafiki hayaendi


huyu jamaa anashauri watu waache kazi ili wawe kama yeye, aache mambo ya hovyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…