Mfanyakazi usithubutu kuacha kazi kwa kushawishiwa kwa njia yoyote ile

Mfanyakazi usithubutu kuacha kazi kwa kushawishiwa kwa njia yoyote ile

Daaaah we jamaa si juzi tu ulikua unalilia mshahara leo hii ushakua tajiri wa forex unawaambia wenzio waache kazi?
Ama kweli maisha bila unafiki hayaendi
e4558cdaecb9ff64737d9dbf5e972330.jpg
944704163041c8a1e080fba5c6f2fe69.jpg
Uchochezi huuu tutakupima kojo mkuu c kwa reference hiz
 
Mwanagu ndo nimeambiwa ijumaa naingiziwa mpunga liwalo na liwe bora nichukue mjengo nipangishe coz mi nipo kwenye nyumba ya bure ya serikali
Wazo zuri,ila hakikisha munaenda mahakamani.Pia Mke wake lazima atie sahihi,usikubali akuuzie kienyeji hata kama ni rafiki
 
Kuna watu wameibuka siku hizi, wanajiita Inspirational Or motivational speakers, hawa wanakula sana hela za vijana kwa semina za ujanja ujanja wakihamasisha vijana wajiajiri wakati wao wameajiriwa.
hahaha [emoji23][emoji28][emoji23] tena hao wa kiAfrica ndo kichefu chefu kabisaa..
 
Namkumbuka marehemu Seth (Bikra wa kisukuma) apumzike kwa amani.....
Alikua anapinga sana kuajiriwa, anatoa shule bila ada namna ya kujiajiri, ila hadi anafariki alikua kaajiriwa Efm radio
labda alikuwa anajiona hana ile dare gut....so akawa anawaIncourage wengne wasije kuwa kama yeye,

unajua kuna watu wanapitia vitu na hawafany kitu kuhusu hcho kitu sababu wanajua hawana uwezo wa kuthubutu,

mfn, unaweza ukawa na mzazi mlevi sana na analewa kila siku alafu huyo huyo mazazi hapendi kabisa watt wake wajekunywa au hata kuonja pombe, sijui kama umenielewa hapi dada Evelyn.
 
Haaaa haaaa! Nimewanyooshea mikono wazee wa info daaah! Mmemuumbua mwenzenu na kumuanika uchi kama samaki kavuliwa leo na kutupwa ufukweni[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ama kweli mhenga alosema njia ya mwongo ni fupi alale pema[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji87]
 
Haaaa haaaa! Nimewanyooshea mikono wazee wa info daaah! Mmemuumbua mwenzenu na kumuanika uchi kama samaki kavuliwa leo na kutupwa ufukweni[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ama kweli mhenga alosema njia ya mwongo ni fupi alale pema[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji87]
 
Namkumbuka marehemu Seth (Bikra wa kisukuma) apumzike kwa amani.....
Alikua anapinga sana kuajiriwa, anatoa shule bila ada namna ya kujiajiri, ila hadi anafariki alikua kaajiriwa Efm radio
Hahahaa noma sana
 
Huu ni ukweli mchungu kuna watu wanaitwa Motivation speakers wanatuharibia vijana mijini huko Mapori yanalala huku vijijini kazi Kusikiliza motivation speech na Inspiration quetos
Wanaharibu sana watu.
Watu hujiona matajiri kwa motivation speech zao ilhali hao watu hununua vigari kwa buku tanotano za hawa wasikilizaji.
 
Eti kuna wale wanaacha kazi na kujiunga na network marketing kama D9 (kama wanavyodai), hii ni kweli?
Wapo wengi tu ila wengi ni waongo wanawajaza watu upepo kuwa walikuwa wanalipwa milioni na nusu na wameacha kwakuwa sasa wanapata maslahi kubwa zaidi.
Ukizubaa unaingia,ukiingia umeliwa.
 
Huwezi kufanikiwa kama umeajiliwa..kuajiliwa kunabana muda,na kukosa fursa duniani..funguka ....
Mafanikio yanakuwa na tafsiri nyingi ndugu na mojawapo ni hiu;
Mafanikio ni kufikia lengo/nia .
Mtu anapofikia lengo hapo tunaita amefanikiwa, na malengo hutofautiana katika scale.
Mf.Mbunge akinunue Vitz hapo utaona amefanikiwa au hajafanikiwa?
Je,mkulima wa kule kijijini akinunua power tiller ya mil.7 sijui wenzake watamwona kafanikiwa au bado?
Kwa ujumla ni hivi kufanikiwa ni kufikia malengo.
Na haya malengo unaweza kuyafikia kwa njia utakayoichagua.
Mf. Mfanyakazi anayelipwa mathalani laki tisa huyu huweza kukopa mpaka Milioni 20 ambazo anaweza kuzitumia kujenga nyumba nzuri kwa level yake akaishi na familia.
Na baada ya miaka 5 akakopa milioni 50 kwakuwa salary yake imepanda akanunua gari na kiasi kingine kuwekeza ktk biashara huku anafanya kazi au akajenga nyumba kijijini.
 
Hakuna anaeacha kazi bila kujua anachoenda kufanya, na pia inategemeana na aina kazi unayofanya kuna kazi zingingine zinakuzuia kukaa hata familia vzr,sasa iyo biashara utakaowaajiri utawasimamia mda gani wkt mda wenyew ndo unakosa ndo maana unataka kuajiajiri, Kama ajira yko inakuruhusu kufanya ayo, Fanya ukiwa kwenye ajira lkn Kama haikurusu tembea wanaokatishaga watu tamaa nao wapo duniani, mchawi ni MTAJI tu ukiwa na mtaji na ukajua kitu cha kufanya utatoboa.
 
Niko kwenye ajira mwaka wa pili huu.
Nimeanza Kutrade Forex mwezi September.
Kwa mpunga naopiga next month naandika resignation letter. Kwanini, kwa sababu mshahara wangu wa mwezi naweza kuupata ndani ya week moja soko likikubali.
Kuajiriwa ni utumwa, ukweli utabaki milele
Uoga wako Umasikini wako
Mkuu ulishaachaga kazi?
 
Back
Top Bottom