Ushirikishe vizuri ubongo wako, siamini kwa hili lakini ikumbukwe kwenye sakata la kufungiwa Gazeti la Manahalisi inatokana na kuanika wazi kuwa UWT walihusika na utekwaji wa Dr. Uli na hii ilitokana na kupata ushirikiano na Kampuni ya simu (TIGO)iliyotoa taarifa na No. za waliohusika hadi usajili wao kwa hiyo kama jamaa ni mfanyakazi wa TIGO kwa anachofanyiwa inawezekana na suala hilo.Ili iweje? anahusuana vipi na kutekwa kwa Ulimboka? Mawazo ya kupuuzwa hayo.
Mkuu kama ni Majambazi si yangeiba hata Wallet na Simu ya Mfanyakazi huyu aliyesimamishwa?? wamempa kichapo na kumfanyiza wife wake hii ni system yaani jamaa wanalipiza kisasi cha kuumbuliwa live kwa kuwapa mateso raia wafanyakazi wasio na hatia yeyote Je Kama ndio Kiongozi wa juu serikalini angekuwa kauwawa au kafanyiziwa na mtu yeyote asisaidie chochote??Majambazi watatumaliza huku tukisingizia vyombo vya dola kuwa vinahusika. Itabidi kujilinda wenyewe kwa sababu sasa vyombo hivi havina morari kutokana na kusingiziwa kila kukicha. Unatemea jambazi aingie kwa Said KUBENEA halafu chombo cha dola kikawa na haraka ya kutoa msaada. Itabidi afe kama kuku.
Nenda pale tIGO Office kamuulizie Ben na pia uliza mkasa wa walioachishwa uwe na moyo usije mwaga machozi... nchi hii sio ya wananchi tena... Siku na wewe Mkeo akiliwa ndio utapata ushawishi nadhani....Hii ni assumption zaidi, haina facts. Kajipange zaidi unishawishi na mimi
Nenda pale tIGO Office kamuulizie Ben na pia uliza mkasa wa walioachishwa uwe na moyo usije mwaga machozi... nchi hii sio ya wananchi tena... Siku na wewe Mkeo akiliwa ndio utapata ushawishi nadhani....
Inaonesha huna imani hata kidogo...na hujaambiwa hii thread ni ya ushawishi... hi ni Fact Mkuu