Mfanyakazi wa Vodacom aeleza alivyochunguza Simu za Sabaya

So mtu kufananisha Apple na vodacom/tigo/airtel ni sawa kwako? Service provider unapohitajika kutoa taarifa na mamlaka (Mara nyingi kupitia warrant ya mahakama) lazima utoe, so wanaoilaumu Vodacom wanashangaza sana
 
Mawakili ni majizi yapo kibiashara zaidi. Yanajua kabisa unafungwa ila wanakukamua hadi senti ya mwisho.

Dawa malipo yafanyike baada ya kesi kwisha na uwe umeshinda.
😀😀😀😀😀😀😀
 
So mtu kufananisha Apple na vodacom/tigo/airtel ni sawa kwako? Service provider unapohitajika kutoa taarifa na mamlaka (Mara nyingi kupitia warrant ya mahakama) lazima utoe, so wanaoilaumu Vodacom wanashangaza sana
😁😁😁😁😁😁
 
Hivi huko mahakamani wakili wa mtuhumiwa ushahidi wa wazi ukiletwa mezani na usiokua na shaka hua anafanyeje? Anabisha tu kama huku mtaani kwetu au anakubali? Na akikubali si ni kama amemsaliti mteja wake?
Huwa wanajitoa ufahamu 'nani sala mbongo ' maana yake nani hapendi hela
 
🤣 🤣 🤣 voda masnitch sana siyo wa kuwaamini, siku wanaweza mforwardia wife conversation zangu
 
Hapo ingekuwa ni upandae wa makamanda ungekuta wameshaaweka kampeni za kususia kampuni ya voda kam aluvyosema lema
Ila hapo ajabu utakuta hata wale wakosoaji wanakaa kimya wanaona sawa tu.
 
Unaweza furahia kwa sababu yamhusu Sabaya, ila hii kitu kwa Vodacom haijakaa vizuri.
 
Customer privacy...
Kampuni kama apple hawawezi kutoa Customer privacy hata siku mojaj
Kumbe hata JF wanaweza kufika mahakamani kutoa ushahid wa hizi ,thread na majina feki kuwa ni nani.
 
Hivi huko mahakamani wakili wa mtuhumiwa ushahidi wa wazi ukiletwa mezani na usiokua na shaka hua anafanyeje? Anabisha tu kama huku mtaani kwetu au anakubali? Na akikubali si ni kama amemsaliti mteja wake?
Umenikumbusha Mzee Karume alisema wachapwe viboko
 
Customer privacy...
Kampuni kama apple hawawezi kutoa Customer privacy hata siku mojaj
Inategemeana na rules za nchi husika. America inawapa uhuru makampuni kulinda haki za wateja. In Tz ni tofauti kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…