HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Kampuni zote Tz ziko hivoMe sio muumin wa matendo ya sabaya ila vodacom ni masnitch sanaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kampuni zote Tz ziko hivoMe sio muumin wa matendo ya sabaya ila vodacom ni masnitch sanaaaa
Tz hata boss wako anapewa data zako zotee[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Inategemeana na rules za nchi husika. America inawapa uhuru makampuni kulinda haki za wateja. In Tz ni tofauti kabisa
Tumia whatsapp[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] voda masnitch sana siyo wa kuwaamini, siku wanaweza mforwardia wife conversation zangu
Mawakili ni majizi yapo kibiashara zaidi. Yanajua kabisa unafungwa ila wanakukamua hadi senti ya mwisho.
Dawa malipo yafanyike baada ya kesi kwisha na uwe umeshinda.
Hakuna kampuni iloyoko juu ya sheria, mahamaka ikishatoa warrant ya kuhitaji information za Muhusika hupindui. Tuwe makini katika matumizi ya simuUnaweza furahia kwa sababu yamhusu Sabaya, ila hii kitu kwa Vodacom haijakaa vizuri.
Hamia appleCustomer privacy...
Kampuni kama apple hawawezi kutoa Customer privacy hata siku mojaj
KWANI MMILIKI WA VODA NI NANI? AU HAMJUI TUUU, AU MNASEMA TU ILI MRADI MMESEMA?Voda sio kabisa,no praivasi kabisa
Umakini wa kweli tuache kuvunja sheria tukitegemea watu furani watulinde.Sms mkuu ndo evidence inayokubalika kwetu hapa ni sms na transactions tu na siyo call logs, call logs ni katika kutambua tu kuwa x, y na z walikuwa na mawasiliano na walisomeka wapi so mambo mazuri tuendelee kuwa makini na simu zetu
Wanatoa kulingana na sheria na ndiomaana zinatunzwa vinginevyo zisingetunzwa kabisa.Customer privacy...
Kampuni kama apple hawawezi kutoa Customer privacy hata siku mojaj
Kampuni hii ni Mali ya CCM nawanasisiemVoda sio kabisa,no praivasi kabisa
Hapa unaongea kitu kile kile Mkuu, FBI hawasumbuki na service providers kwasababu wako mbali ki technology kwamba wanao uwezo wa kupata hizo taarifa bila kumtegemea service providerSheria za Tz ni mbovu.... Ila US FBI hawasumbuki na wenye makampuni wana back doors zao
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂Hivi huko mahakamani wakili wa mtuhumiwa ushahidi wa wazi ukiletwa mezani na usiokua na shaka hua anafanyeje? Anabisha tu kama huku mtaani kwetu au anakubali? Na akikubali si ni kama amemsaliti mteja wake?
Umefafanua vizuri mkuu.Wanatoa kulingana na sheria na ndiomaana zinatunzwa vinginevyo zisingetunzwa kabisa.
Wanavyosema kutoa taarifa za mteja hawamaanishi taarifa zake zote. Ni kwa specific. Ndiomaana unaona taarifa inataja mawasiliano kutoka namba X kwenda Y na Z na tarehe na muda
Halafu sijasikia makampuni mengine kwenye huu upuuzi,ni voda tuu. Tangu kipindi cha issues za Ben Saanane na hata Lisu ni Voda tuuVoda sio kabisa,no praivasi kabisa
Apple na VODACOM wapi na wapi?Customer privacy...
Kampuni kama apple hawawezi kutoa Customer privacy hata siku mojaj
Kama tulivyokususa kukula wewe sababu ya uchafu wako,hujui kuoga.Hapo ingekuwa ni upandae wa makamanda ungekuta wameshaaweka kampeni za kususia kampuni ya voda kam aluvyosema lema
Nenda kasome customer privacy policy za voda afu urudi tena hapa kuja kuprove unachokisemaSo mtu kufananisha Apple na vodacom/tigo/airtel ni sawa kwako? Service provider unapohitajika kutoa taarifa na mamlaka (Mara nyingi kupitia warrant ya mahakama) lazima utoe, so wanaoilaumu Vodacom wanashangaza sana
Huwa hatusomi T&C na Privacy policyCustomer privacy...
Kampuni kama apple hawawezi kutoa Customer privacy hata siku mojaj
Huyo ni kipenyo mzeeMeneja au kipenyo?
Lazima atatafuta namna ya kubisha ili tu kuonyesha ushahidi huo si halali si unajua tena hapo ndipo anapopatia ugali wake mkuu..Hivi huko mahakamani wakili wa mtuhumiwa ushahidi wa wazi ukiletwa mezani na usiokua na shaka hua anafanyeje? Anabisha tu kama huku mtaani kwetu au anakubali? Na akikubali si ni kama amemsaliti mteja wake?