Mfanyakazi wa Vodacom aeleza alivyochunguza Simu za Sabaya

Nimesoma comments zote kwenye uzi huu nimejiifunza kwamba Tanzania tuna raia wengi mbumbumbu sana!

Suala la kutoa taarifa za mteja wa benki au mtandao wa simu kwa masuala ya usalama ni matakwa ya lazima kwa mujibu wa sheria. Na wala mtoa huduma haitaji consent yako taarifa zako hizo zinapohitajika na taasisi za usalama kwani unakuwa tayari ulisharidhia kwenye customer relationship agreement!

Sasa mmekazana mara huyo kipenyo! mara Voda masinichi kumbe nyie ndo weupe vichwani! Halafu wengi wenu ndo akina Mbowe wanawatumia kudai katiba mpya wakati hata sheria basic za Nchi hamjui! Hovyo kabisa ! Vijana wa Tanzania tafuteni maarifa mmekalia sana urongo urongo tu!
 
Me sio muumin wa matendo ya sabaya ila vodacom ni masnitch sanaaaa
Issue sio Vodacom
Issue ni Sheria yetu iliyopitishwa bungeni inamtaka mtoa huduma kutoa ushirikiano

Tusilaumu tu ina faida zake
Mfano yule dada aliyechomwa na gunia la mkaa muuaji wake alipatikana kwa mbinu hii

Moral of the story:
Mawasiliano yetu sio siri.,hivyo tuwasiliane tukijua yanaweza hitajika sehemu na yakatolewa

Bottom line
Tutii sheria bila shuruti na
Tuwe Raia wema
 
Thank you
Na watu hawajui kuwa ignorance of the law is not an excuse
Utahukumiwa hata kama hio sheria huijui
 
Watasema ni wewe kwani laini ni yako
Kama utajitetea sio wewe
Hakikisha una ushahidi wa loss report ya laini hiyo
Vinginevyo umekwisha
 
Mpaka leo ulikuwa hujui tu? Tatizo ni nani wa kumfunga paka kengere.
 
We unampeleka mbali mkuu, apple pia ni service provider wana huduma kama iMessage, apple pay, wana huduma kama FaceTime haina tofauti na Skype ya kuwasiliana kwa njia ya video utasema hawa sio service provider kweli? Hapo kinachomchanganya jamaa ni lugha ya kiingereza lakini apple ni watoa huduma kama kampuni nyingine tu na wanahifadhi data za watumiaji wao kwa umakini mkubwa..
 
Hachomoki .mshamba yule funga 100
 
Ila kwa Mbowe ndio kuna privacy?

[emoji23][emoji23][emoji23]Huwa nacheka sana bavicha mnapojikaanga kwa mfuta yenu wenyewe
Unamfanisha Mbowe na Jambazi Sabaya hahaha, Mbowe dunia yote inajua ni innocent ni hila za kisiasa tu, na Mungu atonyesha njia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…