byeyombo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2015
- 2,647
- 4,184
kwahiyo mtu anayeongea kifaransa akiibiwa anasema komatutapeli? 😀Neno tapeli limetoka kwenye kifaransa na chanzo chake ni wimbo wa hemed maneti vijana jazz wimbo matapeli
Kuna mkongo alipigwa za uso pale posta kwenye picha ya sanamu ya bismark sasa akaanza kulalamika komatitapeli komatitapeli jamaa wakajua jamaa mkongo kashapigwa tayari na wabongo ndipo wakatoa wimbo wanaitwa matapeli
Komatitapeli shemapeli kupekupe kumbamba weeeeba