Mfanyakazi wangu ametapeliwa bidhaa zenye thamani ya Tsh. 300,000 Goba njia nne kwenye sheli

kwahiyo mtu anayeongea kifaransa akiibiwa anasema komatutapeli? 😀
 
Apo Una kodi gari kwa 50k kwenda kutaperi bidhaa ya laki 3 then utafute mteja wa chap chap kwa laki 2 au laki na nusu
 
Yawezekana pia amekunyoosha huyo mfanyakazi wako. Mimi hilo deni angelipa huyo mfanyakazi maana hajafuata maelekezi yangu niliyompa
 
Simu imepigwa, umekusanya vitu, unewapelekea wewe mwenyewe, nini kumtuma mfanyakaxi?

Watakuwa hawara zako najua
 
Yawezekana pia amekunyoosha huyo mfanyakazi wako. Mimi hilo deni angelipa huyo mfanyakazi maana hajafuata maelekezi yangu niliyompa
Sidhani, jamaa atakuwa kasha-comfirm kwa kuwapigia simu watakuwa hawapatikani tena au hawapokei..
 
Sheli ndio nini? Sema kituo Cha mafuta, Shell sijui sheli ni kampuni ya mafuta.
 
Niliisikia hii akiongea Jenerali Ulimwengu, niliangalia google wao waaiandika na kuitamka tofauti. Komatitapeli ni "Comment tu t'appelles" is a French phrase that translates to "What's your name?" in English.
 
Haki ya nani nikikutana na mwizi au tapeli wa aina yoyote nanunua petrol na kiberiti, kama sina hela namkanyaga shingoni paka afie hapo.

Nina hasira kilo mbili na nusu.
ilikuwaje? tell your story
 
Mara moja moja kutapeliwa sio mbaya ... Wana update akili yako ili ikae sawa
 
Inaumiza sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…