Mfanyakazi aligeuka kilaza sijui mjinga.
Mteja amepiga simu anataka bidhaa tukakubaliana na bei, nikamkabidhi bidhaa apeleke wampe laki tatu, akaondoka wakamwambia wako sheli walikuwa ni wadada kwenye kigari kidogo kufika akawapa mzigo wakamwambia wametuma hela hata ajajisumbua kuuliza kama nimetumiwa hela wala nini, anarudi mikono mitupu ananiambia aliwaamini kwa sababu ni wadada.