Mfanye mpenzi wako awe mshkaji wako💞💞

Mfanye mpenzi wako awe mshkaji wako💞💞

Chakorii

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
18,773
Reaction score
51,429
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza jaman…

Mpenzi wako akiwa mshkaji wako kuna uwezekano mkubwa sana wa kujuana zaidiakikudanganya/akichukia/akiwa na furaha sana/akiwa na huzuni/siku yake haijakuwa nzuri kabla hata ya kumuuliza…na mengineyo.

Mwite majina ya kishkaji,mwamba,mwana,na mengineyo lakini isiwe too much sasa na nyie loh😁😁..

Mara moja moja mwambie “mwamba leo tupige game jikoni wakati nakaanga vitunguu “utamu ukizidi mnajikuta vitunguu vimeungua au vimafuta vimewarukia kidogo😆😆mnaungua,au mwambie babe twende tukapige game mpakani mwa Ukraine na Russia pembezoni mwa bomu la nyuklia.
Basi tu ilimradi usumbufu Woi😁😁
Chezeni karata,fanyeni evening walk pamoja,tubuaneni kidogo lakini hakikisha jua halijazama kisirani kimeisha😆😆

Haya msichukulie maisha siriazi sasa na nyie😁
Kuna kuwaga na maisha halafu na muda wa mapenzi💞.nafikiri Niko kwenye mapenzi wakati huu sitaki kugombezwa😁😁🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️



View: https://youtu.be/XhVwmbdIDhg?si=25XiVyiSLFMYZs98
 
Ohhh, una mfanya mwana, Afu baadae ana geuka snitch 😆😂
FB_IMG_16966687310008621.jpg
 
wanawake wengi wanapenda kuwa washikaji kwa mwanaume anayempenda

kama ajakupenda na unataka kumfanya awe mshikaji hapo utakuw unataka kuoga bila kuloana

All in All mapenzi ya ushikaji yani kumfanya mpenzi kama rafiki ni matamu sana hasa mkipendana
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza jaman…

Mpenzi wako akiwa mshkaji wako kuna uwezekano mkubwa sana wa kujuana zaidiakikudanganya/akichukia/akiwa na furaha sana/akiwa na huzuni/siku yake haijakuwa nzuri kabla hata ya kumuuliza…na mengineyo.

Mwite majina ya kishkaji,mwamba,mwana,na mengineyo lakini isiwe too much sasa na nyie loh😁😁..

Mara moja moja mwambie “mwamba leo tupige game jikoni wakati nakaanga vitunguu “utamu ukizidi mnajikuta vitunguu vimeungua au vimafuta vimewarukia kidogo😆😆mnaungua,au mwambie babe twende tukapige game mpakani mwa Ukraine na Russia pembezoni mwa bomu la nyuklia.
Basi tu ilimradi usumbufu Woi😁😁
Chezeni karata,fanyeni evening walk pamoja,tubuaneni kidogo lakini hakikisha jua halijazama kisirani kimeisha😆😆

Haya msichukulie maisha siriazi sasa na nyie😁
Kuna kuwaga na maisha halafu na muda wa mapenzi💞.nafikiri Niko kwenye mapenzi wakati huu sitaki kugombezwa😁😁🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️



View: https://youtu.be/XhVwmbdIDhg?si=25XiVyiSLFMYZs98

Ushikaji ukizidi nalo ni tatizo
 
Back
Top Bottom