Mfanye mpenzi wako awe mshkaji wako💞💞

Mfanye mpenzi wako awe mshkaji wako💞💞

Uncle dereva niliandika kichwa cha habari kutokea hapo lakini hakikunibariki kabisa nikaona bora hiki kilichopo sasa hivi.

Upo uncle dereva!umemissika kutokea dunia ya upande huu wa pili😊

Umemisika pia aunt abiria toka upande huu wa kwanza wa dunia ☺️
 
Lakini dada mimi nikikaa mshikaji u tell I’m not romantique.

Baba Mwampoo is a man and half.. tumpe tu maua 🌺🌺

Najua anajua uliamka saa 8 ukala tikiti.. we dada ni mwamba geu
🤣🤣🤣🤣
sasa the prob mdogo wangu wewe unakuwa gaidi kila mahali, mwenzio Mimi nina pahala na pahala..!!

matikiti yana nafasi yake mbinguni walaqhi',🍉

Mungu amtunze daima hakika..!!🙏
 
🤣🤣🤣🤣
sasa the prob mdogo wangu wewe unakuwa gaidi kila mahali, mwenzio Mimi nina pahala na pahala..!!

matikiti yana nafasi yake mbinguni walaqhi',🍉

Mungu amtunze daima hakika..!!🙏
😂😂😂 and the so called ugaidi must go to hell.. I wanna be a new born🤣🤣

Unavyoyala sasa utadhani hata unaujua msimu wake.

Eiiiimeeeen
 
Back
Top Bottom