Hakika Mjukuu, wishing all the best ๐๐Tuendelee kuomba Neema babu..
Uncle dereva niliandika kichwa cha habari kutokea hapo lakini hakikunibariki kabisa nikaona bora hiki kilichopo sasa hivi.
Upo uncle dereva!umemissika kutokea dunia ya upande huu wa pili๐
Dah love u more my crush๐ค๐ค๐คNdio twende tuka nanii Ikulu huku upepo ukitupepea .
๐๐Thank you babu ๐ค๐ค
Mapenzi ya kishikaji ni matamu sana๐Tuonane paradiso ๐๐๐nimejikuta naanza kuuimba huu wimbo
Nilikuwa sijaisoma hii ๐คMnooooโฆ.mguu juu ya meza bendi kidogo๐๐chaeee๐๐
kumbe kweli basi you're damn good....napenda sana wanawake ambao wanaopenda masiala fulani hivi,wacheshi,wapo romantic๐We nawe yalฤฑ kila kitu una assume ni ndoto heee
U are ma favorite ๐ค๐ค๐คMapenzi ya kishikaji ni matamu sana๐
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃLakini dada mimi nikikaa mshikaji u tell Iโm not romantique.
Baba Mwampoo is a man and half.. tumpe tu maua ๐บ๐บ
Najua anajua uliamka saa 8 ukala tikiti.. we dada ni mwamba geu
๐ ๐ ๐Naomba uongeze sauti jamani๐ฅฐ๐ฅฐ๐ฅฐ
๐๐๐ and the so called ugaidi must go to hell.. I wanna be a new born๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
sasa the prob mdogo wangu wewe unakuwa gaidi kila mahali, mwenzio Mimi nina pahala na pahala..!!
matikiti yana nafasi yake mbinguni walaqhi',๐
Mungu amtunze daima hakika..!!๐