"Mficha Uchi hazai". Nimeamua kuja kupasua jipu

hap hapo ubungo mbona kuna watoto wa kal sana maeneo ya mabibo hostel? wewe domo zege? hujui kama waliopo humu ndo hao wa mtaani kwako? ebu njoo pm nikupe namba ya watoto wakal wife material ujaribu bahat yako.
 
Reactions: amu
Kumbe unakaaga ubungo best, mbona kuna thread ulisemaga huijui ubungo
 
Huu ndo ulikuwa uzi wako wa mwanzo mwanzo?? Vipi pale ubungo bado unakaa au upo kwenye apartment O'bay? Kwa zile chochoro za ubungo sidhani kama ford ranger au GMC zinapita pale na zilivyopana vile.

Vipi ile BMW ushauza?? Mi naitaka mkuu. Ila nmeanza pata picha kamili mpaka sasa toka huu uzi ulipo uchapisha hujapata mke bado. Ndo mana huwa unatumia BMW (Be My Wife) kama lugha flani kutoa wazo lako la kutaka mke.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…