1gb
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 2,199
- 2,859
Habari wana Jf
Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri kati ya 21-26.Tatzo nilonalo ni kwamba huku sirini nimepatwa na viupele vidogovidgo vinavyotoa majimaji lkn hayana harufu kali.majimaji yanayotoka ni kama vile ya mgonjwa alieungua na moto,sasa yale majimaji yanayotoka katika jeraha la moto yana fanana hivyhivyo na haya yanayotoka kwenye vipele hivi kwenye dushe yangu.vipele hivi vimekaa takribani wiki 2 na nusu na havionyeshi dalili ya kupona/kukauka na ukizngatia na hali ya hewa ya mji nnaoishi ni ya joto.mdawoote sikutumia dawa yeyote nikiamini vitakauka tuu nilichokuwa nafanya ni kuvisafsha vyema na sabuni na kufunga vyema na kitambaa safi na kutoka kwa ajili ya mishemishe.Nilivyoona hali ni ileile nikaenda famasi nikamweleza famasia nikapewa hii dawa CALAMINE ANTIPRURITIC.Lkn naona majimaji hayaishi,nikanunua baby powder nikawa nikioga najipiga mapowder kibao kwenye dushe,lkn itakaa kwa muda kama nusu saa ikiisha poda vimajimaji kamakawa.
CHANZO CHA VIPELE
Mwanzo nilikuwa natumia mafuta mazito kupaka mwili wangu,baadae nikabadilisha na kuanza kutumia lotion iitwayo NIVEA nourishing milk.Ndipo hapo tatzo la vipele lilipoanza,vipele vianza mikonino katikati ya vidole na juu ya vidole,nikawa navitumbua,baadae vikahamia mapajani mpaka sasa kwenye dushe ndpo nilpoiacha hiyo lotion.
Labda unaweza ukasema nimeambkizwa na m/mke w/wake kwa hili ntakataa 99.9% kwa sabb kabla ya kupatwa na hili tatzo ckuwahi kudu kwa zaid ya wk 4,kutokana na u busy na kazi ngumu nnazofanya,nikirudi geto nikulala tuu.Mpka nilipopata tatzo wk 2na zaidi sijaduu pia.
MSAADA KWA WANAOFAHM TIBA/WALIWAHI KUPATWA NA TATZO KAMA HILI WAKAPONA KWA DAWA ZIPI/IPI?
kweli mficha uchi hazai nimeona bora nijisalimishe,isije ikaoza yoote ikakatwa.Loooh salaaale maana dushe ndo kila kitu kwa m/ume.
Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri kati ya 21-26.Tatzo nilonalo ni kwamba huku sirini nimepatwa na viupele vidogovidgo vinavyotoa majimaji lkn hayana harufu kali.majimaji yanayotoka ni kama vile ya mgonjwa alieungua na moto,sasa yale majimaji yanayotoka katika jeraha la moto yana fanana hivyhivyo na haya yanayotoka kwenye vipele hivi kwenye dushe yangu.vipele hivi vimekaa takribani wiki 2 na nusu na havionyeshi dalili ya kupona/kukauka na ukizngatia na hali ya hewa ya mji nnaoishi ni ya joto.mdawoote sikutumia dawa yeyote nikiamini vitakauka tuu nilichokuwa nafanya ni kuvisafsha vyema na sabuni na kufunga vyema na kitambaa safi na kutoka kwa ajili ya mishemishe.Nilivyoona hali ni ileile nikaenda famasi nikamweleza famasia nikapewa hii dawa CALAMINE ANTIPRURITIC.Lkn naona majimaji hayaishi,nikanunua baby powder nikawa nikioga najipiga mapowder kibao kwenye dushe,lkn itakaa kwa muda kama nusu saa ikiisha poda vimajimaji kamakawa.
CHANZO CHA VIPELE
Mwanzo nilikuwa natumia mafuta mazito kupaka mwili wangu,baadae nikabadilisha na kuanza kutumia lotion iitwayo NIVEA nourishing milk.Ndipo hapo tatzo la vipele lilipoanza,vipele vianza mikonino katikati ya vidole na juu ya vidole,nikawa navitumbua,baadae vikahamia mapajani mpaka sasa kwenye dushe ndpo nilpoiacha hiyo lotion.
Labda unaweza ukasema nimeambkizwa na m/mke w/wake kwa hili ntakataa 99.9% kwa sabb kabla ya kupatwa na hili tatzo ckuwahi kudu kwa zaid ya wk 4,kutokana na u busy na kazi ngumu nnazofanya,nikirudi geto nikulala tuu.Mpka nilipopata tatzo wk 2na zaidi sijaduu pia.
MSAADA KWA WANAOFAHM TIBA/WALIWAHI KUPATWA NA TATZO KAMA HILI WAKAPONA KWA DAWA ZIPI/IPI?
kweli mficha uchi hazai nimeona bora nijisalimishe,isije ikaoza yoote ikakatwa.Loooh salaaale maana dushe ndo kila kitu kwa m/ume.