LAPF kijana wako vizuri hawa jamaa binafsi nilihudhuria semina yao tukiwa chuo nkatafiti kwa wanachama na wasiokuwa wanachama wa mfuko huu nikapata jibu sahihi ndo mana leo nilivyofika tu uwanjan nikapanda ndege ya LAPF tofauti na hapo itakuwa kama wale abiria walopanda ndege ya malaysia unajua ni nini kilitokeaNaomba ushauri mfuko bora wa pensheni kwa walimu watarajiwa ni upi?
Hamjaizungumzia NSSF inamadhaifu gani?
LAPF kijana wako vizuri hawa jamaa binafsi nilihudhuria semina yao tukiwa chuo nkatafiti kwa wanachama na wasiokuwa wanachama wa mfuko huu nikapata jibu sahihi ndo mana leo nilivyofika tu uwanjan nikapanda ndege ya LAPF tofauti na hapo itakuwa kama wale abiria walopanda ndege ya malaysia unajua ni nini kilitokea
LAPF ndo mpango mzima ni Mfuko unaotoa mafao kuanzia leo hadi unastaafu kwa maana ya kwamba mwanachama anaanza kunufaika mapema na michango yake tofauti na mifuko mingine.
wewe utakuwa mfanyakazi wa LAPF, mwambie boss wako mnachonifanya sio utu kabisa.
Nackia kunabaadhi ya wakurugenzi/maafisa elimu uwa wanashnikiza kujiunga na mfuko fulan! je kuna ukweli kuhusu hilo?