Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
- #41
Sorry Mods sikuiona hii kumbe imeshapostiwa, naomba ifute hii thread iunganishe kule.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu mfuko sina wasiwasi nao kabisa kwa maana hautakuwa mikononi mwa wabunge bali utakuwa chini ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya DED- ambaye atafuata taratibu zote za kutoa pesa kwa shughuli zilizokusudiwa.Hii siyo des.Tena huu wa TZ unapewa hela kidogo tu kama milioni 40-50 KWA MWAKA.Ni kwa ajaili ya matatizo ya wananchi.