Mfumo gani mbadala kwa style ya mamelodi waliyocheza first half?

Mfumo gani mbadala kwa style ya mamelodi waliyocheza first half?

vvvv

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
406
Reaction score
717
Kwa walioangalia first half, je ni mfumo gani rahisi kuchukua mpira na kuumiliki kwa mbinu waliyotumia Mamelodi first half?

Kama timu imekuja na tricky ile mnafanyaje?au mtumie mfumo gani? Maana kwa timu inayotafuta matokeo ile mbinu yao inakera inabidi kuwasubiria tu waanzishe shambulizi wao.
 
Back
Top Bottom