Mfumo mpya wa malipo serikalini (MUSE) ndio unaoua morali za watumishi na kuchelewesha maendeleo nchini

Mfumo mpya wa malipo serikalini (MUSE) ndio unaoua morali za watumishi na kuchelewesha maendeleo nchini

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari!

Huu mfumo si mpya sana maana una miaka zaidi ya miaka 2 hivi hapa nchini tangu uanze kutumika.

Ni mfumo wa Kidijitali wa pamoja wa malipo ya kiserikali.
Mfumo huu ni mwiba kwa wahasibu wezi na watumishi mafisadi.

Ulianzishwa na serikali ya Magufuli. Uliweza kufuta matumizi ya check katika ofisi za umma. Wakati check zinatumika wahasibu wahuni either kwa kushirikiana na mabosi wao au kwa kughushi saini za mabosi walikuwa wanaweza kuiba mpaka milioni 100 pasi kushitukiwa, lakini sasa hawawezi.

Kwa mfumo huu wa MUSE kama unasoma uhasibu ili uje uchote mapesa serikalini basi ni heri uache chuo na hiyo ada ukanunue mbwa kawinde sungura pori.

Ok turudi kwenye mada. Mazuri ya mfumo huu atakuja kuyazungumzia mwingine, mimi leo nazingumzia mabaya ya mfumo huu wa MUSE.

Mfumo huu unachelewesha malipo kwa watumishi wa mkataba ambao hawalipwi direct na B.O.T, kwakuwa ofisi nyingi za umma hasa zinazojiendesha kibiashara watumishi wake wengi ni wa mkataba.

Kwa mfano tangu mwezi huu wa saba uanze mfumo huu ni kama umekataa kabisa kufanya kazi. Yawezekana watu wa IT nguvu wameishiwa au umefungwa kwa kusudi ili kufanya hesabu za mwaka. Watumishi wa mkataba wanakosa mishahara, watumishi karibu wote wanakosa posho ambazo zinawapa ahueni maana mishahara wameshaikopea.

• Wakandarasi wanashindwa kulipwa kwa wakati kutokana na MUSE, hivyo basi wakandarasi wanashindwa kulipa mishahara kwa watumishi na vibarua na hata materials wanashindwa kununua. Hivyo miradi inasuasua.

Zamani ukipata safari ya kikazi mchana chap unaandikiwa check unasafiri, sasa unakopwa na serikali, utumie gharama zako utakuja kulipwa. Je ni watumishi wote wanaweza kuwa na Malaki ya ghafla kwasababu ya safari za ghafla huku tumishahara twenyewe ni tia maji? Kazi zinalala, morali inakata.

Huu mfumo ni mbaya sana kwa maendeleo ya nchi. Ufutwe na kuanzishwa mfumo mwingine au uboreshwe.
 
Tatizo hata siyo MUSE tatizo ni taratibu za urasimu wa serikali CCM kufunga eti hesabu za mwisho wa mwaka, sijui hesabu gani wanafanya mwezi mzima na mfumo sijui utazuiaje kufanya hesabu huku matumizi yanaendelea, mbona mishahara inapitia kwenye MUSE na watu wameshalipwa?
 
Habari!
Huu mfumo si mpya sana maana una miaka zaidi ya 2 hivi hapa nchini tangu uanze kutumika.
Ni mfumo wa Kidijitali wa pamoja wa malipo ya kiserikali.
Mfumo huu ni mwiba kwa wahasibu wezi na watumishi mafisadi.
Ulianzishwa na serikali ya Magufuli. Uliweza kufuta matumizi ya check katika ofisi za umma. Wakati check zinatumika wahasibu wahuni either kwa kushirikiana na mabosi wao au kwa kughushi saini za mabosi walikuwa wanaweza kuiba mpaka milioni 100 pasi kushitukiwa, lakini sasa hawawezi. Kwa mfumo huu wa MUSE kama unasoma uhasibu ili uje uchote mapesa serikalini basi ni heri uache chuo na hiyo ada ukanunue mbwa kawinde sungura pori.
Ok turudi kwenye mada. Mazuri ya mfumo huu atakuja kuyazungumzia mwingine Mimi leo nazingumzia mavaya ya mfumo huu wa MUSE.
Mfumo huu unachelewesha malipo kwa watumishi wa mkataba ambao hawalipwi direct na B.O.T, kwakuwa ofisi nyingi za umma hasa zinazojiendesha kibiashara watumishi wake wengi ni wa mkataba. Kwa mfano tangu mwezi huu wa saba uanze mfumo huu ni kama umekataa kabisa kufanya kazi. Yawezekana watu wa IT nguvu wameishiwa au umefungwa kwa kusudi ili kufanya hesabu za mwaka. Watumishi wa mkataba wanakosa MISHAHARA, watumishi karibu wote wanakosa posho ambazo zinawapa ahueni maana MISHAHARA wameshaikopea.
•Wakandarasi wanashindwa kulipwa kwa wakati kutokana na MUSE, hivyo basi wakandarasi wanashindwa kulipa MISHAHARA kwa watumishi na vibarua na hata materials wanashindwa kununua . Hivyo miradi inasuasua.
Zamani ukipata safari ya kikazi mchana chap unaandikiwa check unasafiri, sasa unakopwa na serikali, utumie gharama zako utakuja kulipwa. Je ni watumishi wote wanaweza kuwa na Malaki ya ghafla kwasababu ya safari za ghafla huku tumishahara twenyewe ni tia maji?
Kazi zinalala, morali inakata.
Huu mfumo ni mbaya sana kwa maendeleo ya nchi.
Ufutwe na kuanzishwa mfumo mwingine au uboreshwe.
Mleta mada kajipange uje na facts zaidi.Mie Mwenyewe natumia MUSE na uki-attach vizuri nyaraka husika zikiwa zimekamilika,malipo husika huwa tayari ndani ya saa 24.
Changamoto hutokea mwishoni mwa mwaka wa Fedha ambapo kutokana na poor planning na mbio za kumalizia budget, Kila mtu hukimbiza malipo ya staff ,watoa huduma,wakandarasi n.k.katika dakika za majeruhi hivyo kufanya MUSE kuwa overloaded na processing speed kuwa down
 
Mleta mada kajipange uje na facts zaidi.Mie Mwenyewe natumia MUSE na uki-attach vizuri nyaraka husika zikiwa zimekamilika,malipo husika huwa tayari ndani ya saa 24.
Changamoto hutokea mwishoni mwa mwaka wa Fedha ambapo kutokana na poor planning na mbio za kumalizia budget, Kila mtu hukimbiza malipo ya staff ,watoa huduma,wakandarasi n.k.katika dakika za majeruhi hivyo kufanya MUSE kuwa overloaded na processing speed kuwa down
Kwahiyo bado huoni udhaifu katika MUSE
 
Habari!
Huu mfumo si mpya sana maana una miaka zaidi ya 2 hivi hapa nchini tangu uanze kutumika.
Ni mfumo wa Kidijitali wa pamoja wa malipo ya kiserikali.
Mfumo huu ni mwiba kwa wahasibu wezi na watumishi mafisadi.
Ulianzishwa na serikali ya Magufuli. Uliweza kufuta matumizi ya check katika ofisi za umma. Wakati check zinatumika wahasibu wahuni either kwa kushirikiana na mabosi wao au kwa kughushi saini za mabosi walikuwa wanaweza kuiba mpaka milioni 100 pasi kushitukiwa, lakini sasa hawawezi. Kwa mfumo huu wa MUSE kama unasoma uhasibu ili uje uchote mapesa serikalini basi ni heri uache chuo na hiyo ada ukanunue mbwa kawinde sungura pori.
Ok turudi kwenye mada. Mazuri ya mfumo huu atakuja kuyazungumzia mwingine Mimi leo nazingumzia mavaya ya mfumo huu wa MUSE.
Mfumo huu unachelewesha malipo kwa watumishi wa mkataba ambao hawalipwi direct na B.O.T, kwakuwa ofisi nyingi za umma hasa zinazojiendesha kibiashara watumishi wake wengi ni wa mkataba. Kwa mfano tangu mwezi huu wa saba uanze mfumo huu ni kama umekataa kabisa kufanya kazi. Yawezekana watu wa IT nguvu wameishiwa au umefungwa kwa kusudi ili kufanya hesabu za mwaka. Watumishi wa mkataba wanakosa MISHAHARA, watumishi karibu wote wanakosa posho ambazo zinawapa ahueni maana MISHAHARA wameshaikopea.
•Wakandarasi wanashindwa kulipwa kwa wakati kutokana na MUSE, hivyo basi wakandarasi wanashindwa kulipa MISHAHARA kwa watumishi na vibarua na hata materials wanashindwa kununua . Hivyo miradi inasuasua.
Zamani ukipata safari ya kikazi mchana chap unaandikiwa check unasafiri, sasa unakopwa na serikali, utumie gharama zako utakuja kulipwa. Je ni watumishi wote wanaweza kuwa na Malaki ya ghafla kwasababu ya safari za ghafla huku tumishahara twenyewe ni tia maji?
Kazi zinalala, morali inakata.
Huu mfumo ni mbaya sana kwa maendeleo ya nchi.
Ufutwe na kuanzishwa mfumo mwingine au uboreshwe.
Tumshukuru jirani wa nchi yetu aliyempa akili hizi JPM...Nilisikia nikiwa pale pembeni akimwambia mtu mweusi kutokana nashida zake nyingi hawezi kukabiliana na temptations za cash, once zinapita mikononi mwake, so if you want to help your people from these temptations they are challenged with, wasikutane na cash, wao wakutane tu na digits za ki electronics....Na mara moja JPM akaja mbio kuuanzisha...Ahsante sana jirani kutusaidia...
 
Mleta mada kajipange uje na facts zaidi.Mie Mwenyewe natumia MUSE na uki-attach vizuri nyaraka husika zikiwa zimekamilika,malipo husika huwa tayari ndani ya saa 24.
Changamoto hutokea mwishoni mwa mwaka wa Fedha ambapo kutokana na poor planning na mbio za kumalizia budget, Kila mtu hukimbiza malipo ya staff ,watoa huduma,wakandarasi n.k.katika dakika za majeruhi hivyo kufanya MUSE kuwa overloaded na processing speed kuwa down
This sounds very Reasonable.🙏
 
Habari!

Huu mfumo si mpya sana maana una miaka zaidi ya miaka 2 hivi hapa nchini tangu uanze kutumika.

Ni mfumo wa Kidijitali wa pamoja wa malipo ya kiserikali.
Mfumo huu ni mwiba kwa wahasibu wezi na watumishi mafisadi.

Ulianzishwa na serikali ya Magufuli. Uliweza kufuta matumizi ya check katika ofisi za umma. Wakati check zinatumika wahasibu wahuni either kwa kushirikiana na mabosi wao au kwa kughushi saini za mabosi walikuwa wanaweza kuiba mpaka milioni 100 pasi kushitukiwa, lakini sasa hawawezi.

Kwa mfumo huu wa MUSE kama unasoma uhasibu ili uje uchote mapesa serikalini basi ni heri uache chuo na hiyo ada ukanunue mbwa kawinde sungura pori.

Ok turudi kwenye mada. Mazuri ya mfumo huu atakuja kuyazungumzia mwingine, mimi leo nazingumzia mabaya ya mfumo huu wa MUSE.

Mfumo huu unachelewesha malipo kwa watumishi wa mkataba ambao hawalipwi direct na B.O.T, kwakuwa ofisi nyingi za umma hasa zinazojiendesha kibiashara watumishi wake wengi ni wa mkataba.

Kwa mfano tangu mwezi huu wa saba uanze mfumo huu ni kama umekataa kabisa kufanya kazi. Yawezekana watu wa IT nguvu wameishiwa au umefungwa kwa kusudi ili kufanya hesabu za mwaka. Watumishi wa mkataba wanakosa mishahara, watumishi karibu wote wanakosa posho ambazo zinawapa ahueni maana mishahara wameshaikopea.

• Wakandarasi wanashindwa kulipwa kwa wakati kutokana na MUSE, hivyo basi wakandarasi wanashindwa kulipa mishahara kwa watumishi na vibarua na hata materials wanashindwa kununua. Hivyo miradi inasuasua.

Zamani ukipata safari ya kikazi mchana chap unaandikiwa check unasafiri, sasa unakopwa na serikali, utumie gharama zako utakuja kulipwa. Je ni watumishi wote wanaweza kuwa na Malaki ya ghafla kwasababu ya safari za ghafla huku tumishahara twenyewe ni tia maji? Kazi zinalala, morali inakata.

Huu mfumo ni mbaya sana kwa maendeleo ya nchi. Ufutwe na kuanzishwa mfumo mwingine au uboreshwe.
WACHA YAFE MAENDELEO YAMEBAKI YA WABUNGE NA VIONGOZI SERIKALINI NA MASHIRIKA YAKE
 
Back
Top Bottom