Kanjwinjwi
JF-Expert Member
- Jun 22, 2017
- 264
- 355
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemsahau na yule mkenya wa kibera, tangu waziri was urusi atinge Nairobi namuona kimya sanakp kipanya44 yeye anasemaje? Kama hajaipitisha hii taarifa, basi jua kwamba ni propaganda tu, mkuu.
Hawa watu kutoka Kibera tuwazoee tu, wanashida flani hivi.Umemsahau na yule mkenya wa kibera, tangu waziri was urusi atinge Nairobi namuona kimya sana
Mimi niko tayari kuyanunua, mkuu. Nataka Huku Bakhmut tunakusanya na kuuza machuma chuma ya NATO.USA atajuta kuipa silaha Ukraine
Ona sasa anavojiharibia soko lake la silaha,
hayo mapipa yake ya Patriot Sijui atamuuzia Nani Tena[emoji1]
Watawauzia wenye viwanda vya NONDO, chuma huwa hakikosi soko,, hata chuma chakavu ina soko,,USA atajuta kuipa silaha Ukraine
Ona sasa anavojiharibia soko lake la silaha,
hayo mapipa yake ya Patriot Sijui atamuuzia Nani Tena[emoji1]
.Hawa watu kutoka Kibera tuwazoee tu, wanashida flani hivi.
Ngoja waje na wali andamana eti bei ya malaya ishuke.
.Ngoja waje na wali andamana eti bei ya malaya ishuke.
Wale wauza Unga wa Mexico wana Silaha Kibao wameuziwa na Majeshi ya Ukraine, zitawarudia wenyewe siku si Nyingi, na hio world cup inayokuja.USA atajuta kuipa silaha Ukraine
Ona sasa anavojiharibia soko lake la silaha,
hayo mapipa yake ya Patriot Sijui atamuuzia Nani Tena[emoji1]