Mfumo mwingine wa Patriot wapigwa tena

USA atajuta kuipa silaha Ukraine

Ona sasa anavojiharibia soko lake la silaha,

hayo mapipa yake ya Patriot Sijui atamuuzia Nani Tena[emoji1]
Mimi niko tayari kuyanunua, mkuu. Nataka Huku Bakhmut tunakusanya na kuuza machuma chuma ya NATO.
 
USA atajuta kuipa silaha Ukraine

Ona sasa anavojiharibia soko lake la silaha,

hayo mapipa yake ya Patriot Sijui atamuuzia Nani Tena[emoji1]
Wale wauza Unga wa Mexico wana Silaha Kibao wameuziwa na Majeshi ya Ukraine, zitawarudia wenyewe siku si Nyingi, na hio world cup inayokuja.


Cheki kombora alilobeba jamaa, hatari sana hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…