Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,634
- 3,833
Habari! Kuna mtu yoyote anafahamu umuhimu wa kuweka bajaj kwenye gas kama mbadala wa Petrol??
Je gharama inapungua ukitumia gasi?? Au inakuwa sawa sawa na petrol??
Msaada
Je gharama inapungua ukitumia gasi?? Au inakuwa sawa sawa na petrol??
Msaada