Mfumo wa hisa wayumba hamna kuingia kwenye Ac zetu! Nini shida?

amshapopo

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2014
Posts
1,834
Reaction score
4,161
Wadau wa hisa leo mmeliona hili tatizo? DSE mnakwama wapi?

Nawasilisha ila mpaka sasa bilabila na hamna taarifa rasmi.
 
Walitoa taarifa kuhusu uwepo wa Maboresho ktk mfumo wao. Binafsi nilipokea sms ikinitaarifu kuanzia Ijumaa saa 12 jioni, mfumo wao utakuwa kwenye maboresho, hivyo tuwe wavumilivu.

Kwa sasa mtandao wao umerejea tena ukiwa na speed nzuri nahisi hata baadhi ya Bugs zimekuwa rectified. DSE Hoyeeeeee...........πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ

Ila mtimize ile ahadi yenu ya soko kuwa online 24/7.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…