Mfumo wa kumtambua Wakili anayeruhusiwa kufanya kazi za Uwakili

Mfumo wa kumtambua Wakili anayeruhusiwa kufanya kazi za Uwakili

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
IMG_20210325_083835_992.jpg

TAMS ni kifupi cha Tanzania Advocate Management System, mfumo unaomuwezesha mtu kutambua endapo wakili anaruhusiwa kufanya kazi za uwakili, amefungiwa, amehuisha leseni yake au la.

Ikiwa utatumia Wakili ambaye haruhusiwi kufanya kazi za uwakili kutokana na sababu yoyote ile itapelekea nyaraka zote alizoziandaa wakili huyo kukosa uhalali

Hatua za kufuata ili kufahamu zaidi kuhusu Wakili

1. Ingia kwenye tovuti ya TAMS - tams.judiciary.go.tz

2. Andika jina la wakili wako

3. Utapatiwa maelezo pamoja na picha yake
 
Upvote 1
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom