Mfumo wa majina katika Passport na ID za Tanzania unasababisha usumbufu sana nje ya Tanzania

Kwa hiyo jina la kati nijitungie?

Halafu kumbuka cheti cha kuzaliwa kinaonyesha mpangilio tofauti, hakionyeshi jina langu ni Musa Salum bali Musa.
Kwani huko majuu au nchi zingine wana hitaji hicho cheti chako cha kuzaliwa , mpaka ukiunganishe hapa kwenye jambo lako la id, passport na system za wengine.
Hiyo nchi offisa wake atakuwa kenge fulani, kitu ambacho sikiamini kuwa hivyo
 
Mwatumbeya si ni mnyakyusa huyo
 
kila nchi inataratibu zake za kujihakikishia mwenye passport ndiye eye scan,finger prints zinawatosha kujua
 
Ulaya ya kaskazini kuna utaratibu wa kutumia majina mawili tu (lako na la ukoo) ila ukienda nchi za Kusini hususan Uhispania na Ureno (na nchi nyingi za amrika ya kati hadi Kusini) wanatumia majina matatu (kama Sisi Kwa kiasi fulani).
Kwa hiyo mkuu, wewe tumia jina lako na baba yako kama jina 1(LAKO) na la mwisho (la ukoo) libaki moja, inategemea na nchi uliyopo, ukiwa Uhispania/Ureno utatumia kama huku nyumbani.....
 
Kwa hiyo jina la kati nijitungie?

Halafu kumbuka cheti cha kuzaliwa kinaonyesha mpangilio tofauti, hakionyeshi jina langu ni Musa Salum bali Musa.
NID yangu
Jina la Kwanza, jina la pili,jina la ukoo
 
Nenda ardhi kasajili DEED POLL mzee. Watakusumbua kila uendapo. Binafsi nna majina matano kwenye IDs zangu zote isipokuwa cheti cha kuzaliwa.

Ili kuepuka usumbufu nilifuatilia DEED POLL.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…