Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hi!
Local government officials kuanzia wajumbe wa mashina, wenyeviti, maafisa wa mitaa/vijiji, kata na tarafa mpaka halmashauri wanaipenda hongo sana.
Kutokuwapa kwa 100% mchakato wa kuajiri watumishi wa muda wa kuhesabu sensa imekaa njema sana.
Hii ifanyike na NEC na taasisi zingine.
Mimi sijaomba na sina mpango nazo, maana nikiomba na kupata naona nitakuwa nimedhulumu shilingi ya jobless mmoja aliyeko mtaani.
Hii system ni nzuri.
Local government officials kuanzia wajumbe wa mashina, wenyeviti, maafisa wa mitaa/vijiji, kata na tarafa mpaka halmashauri wanaipenda hongo sana.
Kutokuwapa kwa 100% mchakato wa kuajiri watumishi wa muda wa kuhesabu sensa imekaa njema sana.
Hii ifanyike na NEC na taasisi zingine.
Mimi sijaomba na sina mpango nazo, maana nikiomba na kupata naona nitakuwa nimedhulumu shilingi ya jobless mmoja aliyeko mtaani.
Hii system ni nzuri.