Mfumo wa pesa kizungumkuti

Mfumo wa pesa kizungumkuti

Mkuu hujaenielewa nachomanisha mfano kama bot kuna kiasi cha tilioni 100 ambacho ukicheck na kubalance kiasi katika term ya digit kwenye computer kinawiana na cash, sasa mkubwa yeyote pale akaamua kuongeza digit mfano kwenye tilioni 100 akaongeza sifuri hata 4 na zikasomeka tilioni laki 1 wakati katka mfumo wa cash/notes+coins zikabaki vilevile tilioni 100 halafu hapohapo akafanya ununuzi mfano china kwa njia ya kieletronic je nchi husika itajuaje kwamba manunuzi yaliyofanyika ni hela hewa? Mfano rahisi labda ww umepeleka hela elf10 teller akakosea na kuongeza sifuri 2 mbele na kusomeka kama milion 1 je hiyo haiwez ikatokea staf wa bot akafanya makusudi kwa nchi za nje make hapo anakuwa hajaimiza nchi yake bali nchi alikofanya manunuzi make yeye anadeliver material?

BOT Tanzania kitu ilicho na control nacho ni shilingi zetu.

Kwenye biashara za kimataifa tunatumia mitandao inayodhibitiwa kimataifa ambayo Watanzania hawana access ya kuweza kubadili figures. Ni kama uwe na debit card, unaweza kuona salio lakini huwezi kubadili namba.
 
Mkuu hujaenielewa nachomanisha mfano kama bot kuna kiasi cha tilioni 100 ambacho ukicheck na kubalance kiasi katika term ya digit kwenye computer kinawiana na cash, sasa mkubwa yeyote pale akaamua kuongeza digit mfano kwenye tilioni 100 akaongeza sifuri hata 4 na zikasomeka tilioni laki 1 wakati katka mfumo wa cash/notes+coins zikabaki vilevile tilioni 100 halafu hapohapo akafanya ununuzi mfano china kwa njia ya kieletronic je nchi husika itajuaje kwamba manunuzi yaliyofanyika ni hela hewa? Mfano rahisi labda ww umepeleka hela elf10 teller akakosea na kuongeza sifuri 2 mbele na kusomeka kama milion 1 je hiyo haiwez ikatokea staf wa bot akafanya makusudi kwa nchi za nje make hapo anakuwa hajaimiza nchi yake bali nchi alikofanya manunuzi make yeye anadeliver material?

Walishafanya hiyo ya kuongeza sifuri hao mastaf wa bot asee walibembea walisumbua hapa mjini mpaka
 
Ongeza dimensions za kufikiria...., fikiria pia kudesign na kutengeneza....., pia fikiria coins za chini kabisa kama shs 10, Tsh 20 ambazo bado ni hela halali..., unafikiri wale wazungu wanaotutengenezea tunawapa Shs Tsh 15 kwa kila coin moja ya Tsh 20? Yaani atengeze zaidi ya coins 100 ili apate USD moja?

Ni mawazo tu..., hebu weka hypothesis zako nikuelewe

Kuna ukweli fulani katika hizo lower denominations, especially now that shilingi yetu imeshuka thamano sana.

Lakini, kitu kama sarafu hakiishii tu kama hela na.kitu cha kouchumi. Ni suala.la.kisiasa.pia. Srafu ina a non monetary value kwamba hii ni alama ya nchi, something priceless.

Kwa hiyo hizo zitakuwepo tu hata kama thamani yake (face value) itakuwa ndogo kuliko thamani ya madini yanayoitengeneza.

Ila hizi zinatakiwa zisiwe nyingi sana kwa sababu zikiwa nyingi zitazidisha gharama.

Au tuanze kuondoa zile za denomination za chini kabisa.
 
Walishafanya hiyo ya kuongeza sifuri hao mastaf wa bot asee walibembea walisumbua hapa mjini mpaka

wangekuwa wanafanya ufisadi wa hivi kuwaumiza wazungu mathalani kununua heavy machine watz tungekuwa mbali sana!
 
Huu mfumo wetu wa elimu kweli ni shidaaaa. Mpaka mtu anajiunga na jamii forum hajui maana ya pesa, ilianza vipi, inahusiana vipi na uzalishaji, ina maana gani mzunguko wa fedha, kwa nini kuna noti chakavu na mpya? Hii nchi sasa ipo hatarini. Wengi waliopo jamii forum ni watu ambao wameshamaliza sekondari. Lakini elimu ya kawaida ya dunia hwaijui. Maana yake wamenyimwa haki hiyo mpaka mwisho wao. Hii inatisha sana. Kuzaliwa mjinga, kuishi mjinga na kufa mjinga. Basi tujipange walau kizazi kijacho wasiishi ujinga huu.

Toa jibu we profesa majalala!
 
Duuh hilo haliwezekani kiuchumi,
Nitasema machache ingawa mimi sio mwanauchumi.
Pesa lazima ilete stability kwenye uchumi kwa kua ni njia iliyokubaliwa kua medium of exchange.
Pesa ili ilete hiyo stability kwenye uchumi ni lazima izingatie yafuatayo:

1. Iwe accepted na jamii husika as a medium of exchange.

2. Pesa lazima iwe scarce, yaani iwe haba ili watu washiriki kuisaka na kupitia hapo shughuri za kiuchumi zitafanyika na nchi itasonga mbele kimaendeleo( kumbuka maendeleo ni dhana pana sana sio uchumi tu).

3. Pesa lazima iwe durable, yaani iweze kukaa kwa muda mrefu bila kuharibika wala kushuka thamani mara kwa mara, kama hilo litafanikiwa basi uchumi utakua stable.

4. Pesa ni lazima iwe portable, yaani ni lazima iwe ndogo ili iweze kubebeka na kutumika kwa urahisi.

Wanauchumi mtanisaidia mengine siyajui.

Hizo ni qualities of money mkuu,bado kuna maswal mkuu ya wadau yanataka majibu!!
 
Katika uchumi wa leo raia anaweza kumiliki pesa ambazo ni figures tu katika computer, na hazipo noti.

Anatumia card tu kulipia, hesabu zinafanyika kwenye computer, anazolipa zinatolewa kwenye akaunti, zinazoingia zinaingia.

Ila kibongobongo huko bado hatujafika kwa sana.

Benki kuu huangalia milinganyo ya uwepo wa fedha katika mzunguko kabla ya kuamua kuchoma.za zamani ili kutosababisha upungufu wa fedha katika physical circulation.

ndugu yangu kama noti zenye thamani ya Tsh milioni kumi zimechakaa na benki ikazichoma moto au kuziondoa kwenye mzunguko kisha ikaingiza kiasi hkohiko tena kwenye mzunguko kwa noti mpya;je itapunguzaje pesa kwenye mzunguko?
 
ndugu yangu kama noti zenye thamani ya Tsh milioni kumi zimechakaa na benki ikazichoma moto au kuziondoa kwenye mzunguko kisha ikaingiza kiasi hkohiko tena kwenye mzunguko kwa noti mpya;je itapunguzaje pesa kwenye mzunguko?

Kati ya za zamani zinapochomwa na mpya zinapokuja inabidi kupanga ratiba ya kuziingiza mpya katika mzunguko huku za zamani zikichomwa moto, ili kusiwe na uhaba sana wa fedha na wala fedha zisijae sana mtaani.
 
Kati ya za zamani zinapochomwa na mpya zinapokuja inabidi kupanga ratiba ya kuziingiza mpya katika mzunguko huku za zamani zikichomwa moto, ili kusiwe na uhaba sana wa fedha na wala fedha zisijae sana mtaani.

nionavyo mimi njia zinazotumika kuinject money into circulation ni ile ile,so hata kama wataamua kuzibadili noti haiwez kuwa kwa mara moja kwasababu noti chakavu haziendi kwa mara moja benki kuu.

Labda niongeze swali;hivi pale inapotokea hela imepotea au imeungua,benki kuu inatrace vipi kujua hela kiasi kadhaa imeondoka kwenye mzunguko?
 
nionavyo mimi njia zinazotumika kuinject money into circulation ni ile ile,so hata kama wataamua kuzibadili noti haiwez kuwa kwa mara moja kwasababu noti chakavu haziendi kwa mara moja benki kuu.

Labda niongeze swali;hivi pale inapotokea hela imepotea au imeungua,benki kuu inatrace vipi kujua hela kiasi kadhaa imeondoka kwenye mzunguko?

Hawawezi kuzibadili mara moja, lakini pia hawawezi kuchoma moto noti moja moja na kuzibadilisha kwa mpya.

Kwenye nchi zenye a credible banking system a good percent of cash must return to the banking system and from there, in theory at least, within a specified margin of error, central banks could gauge the supply of money in the system and regulate as necessary.

Kwetu huko ambako kuna watu wengi wanalalia fedha kwenye magodoro it is another case.
 
kuna documentary moja niliicheki inaitwa money as debt. ziko tatu ila nimecheki mbili. pesa mara nyingi inavyoingizwa kwenye mzunguko huwa ni deni ambalo linatakiwa kurudi na faida. yaani ikiingia 1000 itatakiwa kurudi 1100,1200 au 1300 kulingana riba. pia inazungumzia historia ya pesa toka enzi za magoldsmith hadi modern banking. inaeleza jinsi mfumo wa pesa wa dunia ulivyo mbaya, mabenki yanavyo tengeneza faida out of nothing na jinsi yanahakikisha watu hawafundishi somo la jinsi pesa zinatengenezwa. itafute ni nzuri sana.
 
Salaam wakuu

Leo kijana wenu nimewaza sana kuna jambo silielewi..lakini naamini hapa wapo wahusika wakunisaidia au hata wale wenye ujuzi

Hivi pesa inapotengenezwa(kiwandani sijui) taifa husika linaenda kuinunua au wanabadilishana vipi?yaani ukiweka oda ya kutengenezewa hela wewe unapeleka nini unapoenda kuchukua pesa zako?

Na kama kuna biashara hufanywa hua wanabadilishana na kitu gani?

Je kweli wanainunua kwa pesa?yaani umuuzie ng'ombe maziwa au nyama.duuuuh!yeye anaitengeneza sasa wewe unampa nini?

Na je?inapotengenezwa ni kua ya zamani inateketezwa au au zinazidi kujazana?

Karibuni mnisaidie wakuu

Shukran.
mi najua kama tanzania wanataka kuipa kampuni tenda ya kutengeneza pesa wanailipa hiyo kwa pesa za kufanyia biashara za kimataifa kama dollar. hiyo pesa siyo lazima iwe equivalent na shillingi iliyotengenezwa. inawezekana kutengeneza 10,000 ukatumia 1000. na kutengeneza 50 ukatumia 80. jambo la kuzingatia ni kuwa kazi ya pesa ni kwenda kurahisisha biashara kwa hiyo inakuwa inakazi yenye thamani kubwa.
kutengenezewa hela sio sawa na kuweka oda ya kutengenezewa viatu ukauze.
 
Hapo hapo naongezea, wakati nchi haina hela kwanini tusiwaambie marafiki zetu wachina wakatujengea kiwanda cha hela hapa ili tuzalishe wenyewe
ukifanya hivyo utapunguza thamani ya pesa yako na kuongeza mfumuko wa bei. hizi zilikuwaga akili za idi amini.
 
Hapo hapo... ni kiasi gan hutengenezwa kwa mwezi...? Na ikija inaingilia wapi....? I mean anapewa nan
njia kubwa ni benki kuu, kisha benki za biashara kulingana mtaji wako harafu kwenye mzunguko huuingia watu wakienda benki kukopa. hata serikali nayo hukopa.
 
Mara nyingi malipo ya kutengeneza pesa huwa ni kubadilishana vitu vyenye thaman kubwa baina ya serikali/nchi inayotengenezewa pesa na kampuni inayohusika ktk kutengeneza hizo pesa,mara nyingi nchi hutoa akiba yake ya dhahabu,almasi,tanzanite au madini mengine yenye thaman kubwa kama malipo ya kutengenezewa pesa kulingana na makubaliano watakayokua wameafikiana.
zamani ilikuwa hivyo lakini mattumizi ya dhahabu yalikoma miaka ya 1970's.
 
Hela mbona ni bidhaa tu, inauzwa na kununuliwa kwa hela hata baada ya kuchapishwa.

Unapoenda benki kuomba mkopo, ukapewa mkopo kwa interest rate si unakuwa umenunua hela kwa hela hapo, au vipi?
hapo ndiyo huwa nawashangaa wanaosema riba ni dhambi wakati bidhaa zingine wanauza kwa faida!?
 
njia kubwa ni benki kuu, kisha benki za biashara kulingana mtaji wako harafu kwenye mzunguko huingia watu wakienda benki kukopa. hata serikali nayo inatakiwwa hukopa!. jap nina na serikali zetu
 
Back
Top Bottom