Amaizing Mimi
JF-Expert Member
- Feb 2, 2019
- 489
- 1,102
Natumai hamjambo. Toka jana najaribu kufungua salary slip, matokeo ni kuwa huduma haipatikani.
Mh. Mwigulu umeona tozo hazitoshi sasa umeamua kufunga mfumo ili tusione mnavyotuibia?
Hebu fungueni tuone HELSB walivyofanya mwezi huu maana hawaamiki tena.
Mh. Mwigulu umeona tozo hazitoshi sasa umeamua kufunga mfumo ili tusione mnavyotuibia?
Hebu fungueni tuone HELSB walivyofanya mwezi huu maana hawaamiki tena.