Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini alisubiri mpaka deadline mkuu?Kuna mtu nimempambania nimeona nikubali tu kwamba imeshindikana nalala
Ni uzembe, na always tunajitete eti na hiyo siku ya mwisho si ni siku?.Kwa nini alisubiri mpaka deadline mkuu?
Kiufupi sijui kuna mtu kaniomba nimsaidie kumuombea mdogo wake kanitumia attachment make wanajua mi expert wa mambo ayo ila finally nimeshindwa kwa kweli afu sa hi ukiingia zinaonekana nafasi mbili tuKwa nini alisubiri mpaka deadline mkuu?
Wanahujumu eGov ionekane haina mpango...Toka asubuhi hakuna kitu
Deadline isiwe kisingizio!Kwa nini alisubiri mpaka deadline mkuu?
Sizani kama wana tumia ega!Wanahujumu eGov ionekane haina mpango...
Nadhani basi ni tatizo lisilotibikaSizani kama wana tumia ega!
Wana system zao nyingi za online, hii iwe kipimo cha kuzipitia hizo system zote ili uko mbele zisilete shida
Kuna Rita portal nayo ni shida tu’
Kuna system hazipo sawa na kuna zingine zina onekana zipo sawa kwa sababu watumiaji sio wengi Au hawa ingii katika system kwa wakati mmoja
Ina bidi wajitathimini, kuna mapungufu mengi ya mfumoUjinga wa system kusumbua huwezi kuukuta ajira portal. The whole day simu ya hovyo hasa kwenye qualifications. To be sensible, ni kufanya assessment ya system, kama kuna ukweli ni lazima wafanye extension.
Haina maana ya kuwa na siku 14 halafu hiyo siku, mfumo usifanye kazi
Nazani Bado serikali haija wekeza nguvu katika hili eneo japo wana tamani kufanya vyema sana ktk hili eneo...!Nadhani basi ni tatizo lisilotibika
Procrastination....Ni uzembe, na always tunajitete eti na hiyo siku ya mwisho si ni siku?.
Ila ni uzembe sana, yaan siku 14 we usubiri siku ya mwisho?
Hiyo siku ya mwisho haikutakiwa kutumika?Ni uzembe, na always tunajitete eti na hiyo siku ya mwisho si ni siku?.
Ila ni uzembe sana, yaan siku 14 we usubiri siku ya mwisho?
Siyo leo mie nilijaribu toka siku4 nyuma,ikawa inanigomea,nikapotezea manake tayar nina ajira serikalin,nilitaka kuhama huku niliko.Ujinga wa system kusumbua huwezi kuukuta ajira portal. The whole day simu ya hovyo hasa kwenye qualifications. To be sensible, ni kufanya assessment ya system, kama kuna ukweli ni lazima wafanye extension.
Haina maana ya kuwa na siku 14 halafu hiyo siku, mfumo usifanye kazi
Mfumo wa posta hata BOT wametumia kwenye ajira zao.Ina bidi wajitathimini, kuna mapungufu mengi ya mfumo
Kifupi hawa kujiandaa, bora wangesema watu watume barua posta kama halmashauri zinavyo fanya