Mfumo wa TRA ajira leo hovyo

Mfumo wa TRA ajira leo hovyo

Procrastination....

Ni ugonjwa mbaya sana...

Kazi ukiiona omba siku hiyo hiyo...

Leo ni siku ya mwisho. Kila mtu anahangaika. Si ajabu servers zao zimeelemewa....

Kusubiri deadline ni hatari maana ishu ikitokea huna breathing room unabakia kulaumu bure...
Sever kuelemewa sio tatizo la muombaji ni tatizo lao hilo, wao ndio wana takiwa kushughulikia...!

Mitandao ya mawasiliano inge kuwa Ina elemewa hivi na wateja kupata huduma mbovu uta kuja kuwa pangia siku za kuongea na simu Au kutumia mtandao?

Kuwa ungea Usiku sana siku ya krisimasi na mwaka mpya jitahidi kuongea mapema?

Waboreshe system yao!

Tangu siku ya kwanza watu wana omba huku wana piga simu kwa wahusika wana rekebisha system huku watu wana omba!

Kiufupi system haikuwa sawa! Ni haraka zao wakati hawa kuwa tayari!
 
Sizani kama wana tumia ega!

Wana system zao nyingi za online, hii iwe kipimo cha kuzipitia hizo system zote ili uko mbele zisilete shida

Kuna Rita portal nayo ni shida tu’

Kuna system hazipo sawa na kuna zingine zina onekana zipo sawa kwa sababu watumiaji sio wengi Au hawa ingii katika system kwa wakati mmoja
Labda utaalamu wao unaishia hapo, sio vibaya watakatangaza tenda za kutafuta wataalamu wa kuwarekebishia mifumo.
 
Labda utaalamu wao unaishia hapo, sio vibaya watakatangaza tenda za kutafuta wataalamu wa kuwarekebishia mifumo.
Ni kweli wasione aibu wakubali ukweli maana watumiaji ndio wame ziona changamoto na wame ziwasilisha na wao wenyewe wame kubali kuwa kuna changamoto kadhaa katika mfumo wao
 
Ni mzuri zaidi kama wana Ona bado hawaja jiandaa kuanza huko Au watoe options zote kwa posta, email, portal...

Una kuta wana e-mail yenye capacity ya gb 100 yani ni kichekesho... wataalam
Hii nchi ina tabu sana,bot hawajahitaji hata kutuma online.ni physical address wametoa.
 
Nazani Bado serikali haija wekeza nguvu katika hili eneo japo wana tamani kufanya vyema sana ktk hili eneo...!

Ata brela portal kuna muda ni kituko tu!
Mpaka sasa hueleweki unacho imply ni nini

Karne hii yenye wasomi na resources lukuki halafu mfumo wa mamlaka ya mapato ya nchi unakuwa down bila solution ndani ya wakati ni HUJUMA na upuuzi mtukuka.

Avatar yako inasadifu namna usivyoelewa mambo yanavyoenda. Kesho utakuja na uzi hapa kuwa tuibinafsishe TRA ili mapato yaongezeke.
 
Hii nchi ina tabu sana,bot hawajahitaji hata kutuma online.ni physical address wametoa.
Bora wao! Wameona mbali... ila wajifunze haya kama huko mbele wata taka kutumia huu mfumo wa online basi waelewe kuna hizi changamoto
 
Mpaka sasa hueleweki unacho imply ni nini

Karne hii yenye wasomi na resources lukuki halafu mfumo wa mamlaka ya mapato ya nchi unakuwa down bila solution ndani ya wakati ni HUJUMA na upuuzi mtukuka.

Avatar yako inasadifu namna usivyoelewa mambo yanavyoenda. Kesho utakuja na uzi hapa kuwa tuibinafsishe TRA ili mapato yaongezeke.
Sio mbaya tukibinafsisha kama wataalam wa ndani wameshindwa kusaidia taasisi kupiga hatua zaidi ya kukosesha mapato ya tokanayo na mtandao nk
 
Sio mbaya tukibinafsisha kama wataalam wa ndani wameshindwa kusaidia taasisi kupiga hatua zaidi ya kukosesha mapato ya tokanayo na mtandao nk
Sonona inayosababishwa na CCM ni janga la taifa
 
Ujinga wa system kusumbua huwezi kuukuta ajira portal. The whole day simu ya hovyo hasa kwenye qualifications. To be sensible, ni kufanya assessment ya system, kama kuna ukweli ni lazima wafanye extension.
Haina maana ya kuwa na siku 14 halafu hiyo siku, mfumo usifanye kazi
Utetezi wa Kipumbavu huu.
 
Back
Top Bottom